Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Yehova Anatujua Vizuri

Yehova Anatujua Vizuri

Pakua:

  1. 1. Tulipoumbwa ndani ya dunia,

    Kabla ya kuja ulimwenguni,

    Yehova alituona

    Alitujua vizuri.

    Tua utafakari.

    (KORASI)

    Yehova; ajua—

    Tunachofikiri,

    Na tunapojitahidi,

    Shangwe na huzuni yetu.

    Yehova; ajua—

    Tunachohitaji.

    Tunaposhindwa kusema anajua.

    Yote.

  2. 2. Kama baba ni mwenye upendo,

    Anataka ufanikiwe.

    Huona mema ndani yetu

    Katuahidi Paradiso.

    Yeye anakujali.

    (KORASI)

    Yehova; ajua—

    Tunachofikiri,

    Na tunapojitahidi,

    Shangwe na huzuni yetu.

    Yehova; ajua—

    Tunachohitaji.

    Tunaposhindwa kusema anajua.

    Yote.

    (DARAJA)

    Mtazame Yehova na kumbuka anakupenda sali—sali.

    Wakati wa shida mwambie na hofu zako.

    Na usiogope, atakutegemeza.

    (KORASI)

    Yehova; ajua—

    Tunachofikiri,

    Na tunapojitahidi,

    Shangwe na huzuni yetu.

    Yehova; ajua.

    Tunachohitaji.

    Tunaposhindwa kusema anajua.

    (KORASI)

    Yehova; ajua—

    Tunachofikiri,

    Na tunapojitahidi,

    Shangwe na huzuni yetu.

    Yehova; ajua.

    Tunachohitaji.

    Tunaposhindwa kusema anajua.

    Yote.