Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Uwe na Hakika

Uwe na Hakika

Pakua:

  1. 1. Unahubiri.

    Na unasali.

    Ni mwaminifu sikuzote.

    Lakini bado unateseka.

    Ila Yehova anaona.

    (KIBWAGIZO)

    Na ukipelekwa mahakamani,

    Yuko na wewe.

    Tutaiga mfano wako,

    Mzuri sana.

    (KORASI)

    ‘Nimeamini

    Hakuna cha kututenga na upendo wa Yehova.’

    ‘Nimeamini

    Si kifo, si serikali, wala mambo yajayo.’

    Anakupenda

    Uwe na hakika.

  2. 2. Hata wakati,

    Wa matatizo,

    Umemtegemea Yehova.

    Na ingawa watu wanakupinga,

    Usihofu tuko pamoja

    (KIBWAGIZO)

    Na ukipelekwa mahakamani,

    Yuko na wewe.

    Tutaiga mfano wako,

    Mzuri sana.

    (KORASI)

    ‘Nimeamini

    Hakuna cha kututenga na upendo wa Yehova.’

    ‘Nimeamini

    Si kifo, si serikali, wala mambo yajayo.’

    Anakupenda

    Uwe na hakika.

    (DARAJA)

    Ukumbuke: ‘Utateswa sana kwa kumpenda Mungu’—

    Oh, Mungu wako.

    ‘Ila usijali, wewe pambana tutashinda’—

    Utashinda.

    (KORASI)

    ‘Nimeamini

    Hakuna cha kututenga na upendo wa Yehova’

    ‘Nimeamini

    Si kifo, si serikali, wala mambo yajayo.’

    ‘Nimeamini

    Hakuna cha kututenga na upendo wa Yehova’

    ‘Nimeamini

    Si kifo, si serikali, wala mambo yajayo.’

    Anakupenda

    Uwe na hakika.