Siku ya Posho
“Bidii kwa ajili ya nyumba yako itanikula”—Yohana 2:17
Asubui
-
3:20 (9:20) Video ya Muziki
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 93 na Sala
-
3:40 (9:40) “Munatafuta Nini?” (Yohana 1:38)
-
3:50 (9:50) DRAMA:
Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 2
“Huyu ni Mwana Wangu”—Sehemu ya 2 (Yohana 1:19–2:25)
-
4:20 (10:20) Wimbo Na. 54 na Matangazo
-
4:30 (10:30) HOTUBA YENYE SEHEMU SABA: Uige Wale Wenye Walipenda Ibada Safi!
-
• Yohana Mubatizaji (Matayo 11:7-10)
-
• Andrea (Yohana 1:35-42)
-
• Petro (Luka 5:4-11)
-
• Yohana (Matayo 20:20, 21)
-
• Yakobo (Marko 3:17)
-
• Filipo (Yohana 1:43)
-
• Natanaeli (Yohana 1:45-47)
-
-
5:35 (11:35) HOTUBA YA UBATIZO: Maana ya Ubatizo Wako (Malaki 3:17; Matendo 19:4; 1 Wakorinto 10:1, 2)
-
6:05 (12:05) Wimbo Na. 52 na Mapumuziko
Kisha Midi
-
7:35 (13:35) Video ya Muziki
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 36
-
7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Tumikisha Somo Zenye Tunajifunza mu Muujiza wa Kwanza wa Yesu
-
• Uonyeshe Huruma (Wagalatia 6:10; 1 Yohana 3:17)
-
• Ukomalishe Unyenyekevu (Matayo 6:2-4; 1 Petro 5:5)
-
• Ukuwe Mukarimu (Kumbukumbu la Torati 15:7, 8; Luka 6:38)
-
-
8:20 (14:20) Namna “Mwana-Kondoo wa Mungu” Anatosha Zambi (Yohana 1:29; 3:14-16)
-
8:45 (14:45) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU:Unabii Kuhusu Masiya Ulitimia!—Sehemu ya 2
-
• Bidii kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova Ilimukula (Zaburi 69:9; Yohana 2:13-17)
-
• Kutangazia “Wapole Habari Njema” (Isaya 61:1, 2)
-
• “Mwangaza Mukubwa” Uliangaza mu Galilaya (Isaya 9:1, 2)
-
-
9:20 (15:20) Wimbo Na. 117 na Matangazo
-
9:30 (15:30) “Mutoshe Vitu Hivi Hapa!” (Yohana 2:13-16)
-
10:00 (16:00) “Nitalisimamisha” (Yohana 2:18-22)
-
10:35 (16:35) Wimbo Na. 75 na Sala ya Mwisho

