Siku ya Tano
“Yehova Mungu wako ndiye unapaswa kuabudu”—Matayo 4:10
Asubui
-
3:20 (9:20) Video ya Muziki
-
3:30 (9:30) Wimbo Na. 74 na Sala
-
3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Ibada Safi Ni Nini? (Isaya 48:17; Malaki 3:16)
-
4:10 (10:10) DRAMA:
Habari Njema Juu ya Yesu: Epizode ya 2
“Huyu ni Mwana Wangu”—Sehemu ya 1 (Matayo 3:1–4:11; Marko 1:12, 13; Luka 3:1–4:7; Yohana 1:7, 8)
-
4:40 (10:40) Wimbo Na. 122 na Matangazo
-
4:50 (10:50) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Unabii Kuhusu Masiya Ulitimia!—Sehemu ya 1
-
• Alikubaliwa na Mungu (Zaburi 2:7; Matayo 3:16, 17; Matendo 13:33, 34)
-
• Alitoka mu Kizazi ya Mufalme Daudi (2 Samweli 7:12, 13; Matayo 1:1, 2, 6)
-
• Alitiwa Mafuta na Kuwa “Masiya Kiongozi” (Danieli 9:25; Luka 3:1, 2, 21-23)
-
-
5:45 (11:45) Nani njo Anatawala Kabisa Dunia? (Marko 12:17; Luka 4:5-8; Yohana 18:36)
-
6:15 (12:15) Wimbo Na. 22 na Mapumuziko
Kisha Midi
-
7:35 (13:35) Video ya Muziki
-
7:45 (13:45) Wimbo Na. 121
-
7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Uige Namna Yesu Alimupinga Shetani!
-
• Kuishi kwa Neno ya Yehova (Matayo 4:1-4)
-
• Usimujaribu Yehova (Matayo 4:5-7)
-
• Umuabudu tu Yehova (Matayo 4:10; Luka 4:5-7)
-
• Utetee Kweli (1 Petro 3:15)
-
-
8:50 (14:50) Wimbo Na. 97 na Matangazo
-
9:00 (15:00) HOTUBA YENYE SEHEMU SABA: Somo Zenye Tunajifunza mu Eneo Kwenye Yesu Aliishi
-
• Jangwa ya Yudea (Matayo 3:1-4; Luka 4:1)
-
• Bonde ya Yordani (Matayo 3:13-15; Yohana 1:27, 30)
-
• Yerusalemu (Matayo 23:37, 38)
-
• Samaria (Yohana 4:7-9, 40-42)
-
• Galilaya (Matayo 13:54-57)
-
• Foinike (Luka 4:25, 26)
-
• Siria (Luka 4:27)
-
-
10:10 (16:10) Yesu Anaona Nini Ndani Yako? (Yohana 2:25)
-
10:45 (16:45) Wimbo Na. 34 na Sala ya Mwisho

