Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu
Kanuni bora zinapatikana katika Biblia.Watoto wanaweza kujifunza si mafundisho ya wanadamu bali ya Baba yao wa mbinguni.
Watoto Wanahitaji Nini Kutoka kwa Wazazi?
Kitabu hiki kimetayarishwa kwa njia ambayo itachochea mazungumzo yenye kujenga kati ya watoto na wale wanaojifunza nao.
SURA 1
Kwa Nini Yesu Alikuwa Mwalimu MKuu
Yesu alifundisha mambo gani? Mafundisho yake yalitoka wapi?
SURA 2
Barua Kutoka kwa Mungu Mwenye Upendo
Barua Yake inapatikana katika kitabu chenye thamani kuliko vitabu vingine vyote.
SURA 3
Yule Aliyeviumba Vitu Vyote
Ni nani aliyewaumba ndege na kuwafundisha kuimba? Ni nani alitokeza nyasi? Ni nani aliyekuumba?
SURA 4
Mungu Ana Jina
Sote tuna majina. Je, unajua Mungu anaitwa nani? Kwa nini jina hilo ni muhimu?
SURA 6
Mwalimu Mkuu Aliwahudumia Wengine
Je, unafurahi mtu anapokufanyia jambo zuri? Sisi sote hufurahi, na Mwalimu Mkuu alijua hivyo.
SURA 7
Utii Unakulinda Wewe
Watoto wanaweza kujifunza kutoka kwa watu wazima. Mungu anapotuambia tufanye jambo fulani, tuna uhakika kwamba ni sawa kulifanya.
SURA 10
Yesu Ana Mamlaka Kuliko Roho Waovu
Hatupaswi kuwaogopa roho waovu, lakini tunapaswa kujilinda ili wasitupotoshe.
SURA 11
Msaada wa Malaika wa Mungu
Malaika wa Mungu huwasaidia watu ambao wanaompenda Yehova na kumtumikia.
SURA 12
Yesu Anatufundisha Kusali
Unaweza kuzungumza na Mungu wakati wowote iwe ni mchana au usiku, naye atakusikia.
SURA 18
Je, Wewe Hukumbuka Kusema Asante?
Unaweza kujifunza kutokana na mfano wa watu kumi wenye ukoma.
SURA 20
Je, Unapenda Kujitanguliza Kila Wakati?
Yesu aliwaambia nini wanafunzi wake walipobishania hilo?
SURA 25
Je, Watu Wanaofanya Mabaya Wanaweza Kubadilika?
Mifano ya Sauli na kahaba inajibu swali hilo.
SURA 26
Kwa Nini Si Rahisi Kutenda Mema?
Watu watatendaje ikiwa utakataa kufanya yale wanayotaka ufanye?
SURA 27
Mungu Wako Ni Nani?
Leo, watu huabudu miungu wengi. Unapaswa kufanya nini? Vijana watatu Waebrania wanajibu swali hilo.
SURA 28
Jinsi ya Kujua Yule Tunayepaswa Kumtii
“Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”
SURA 29
Je, Karamu Zote Zinampendeza Mungu?
Je unajua kwamba kuna masimulizi ya karamu kadhaa katika Biblia. Acheni tuone maoni ya Mungu kuzihusu.
SURA 30
Jinsi Tunavyoweza Kuushinda Woga
Mwalimu Mkuu hakusema itakuwa rahisi kumtumikia Yehova. Hata hivyo, tunaweza kuwa jasiri.
SURA 32
Jinsi Yesu Alivyolindwa
Jifunze njia mbalimbali ambazo Yehova alimlinda Yesu kutokana na watu waliotaka kumuua alipokuwa mtoto.
SURA 33
Yesu Anaweza Kutulinda
Alipokuwa duniani, Yesu alionyesha jinsi angewalinda wale wanaompenda.
SURA 37
Kumkumbuka Yehova na Mwana Wake
Yesu aliwafundisha wafuasi wake njia ya pekee ya kukumbuka kile ambacho Yehova na Yesu walitufanyia.
SURA 40
Jinsi ya Kumfurahisha Mungu
Methali moja ya Biblia inasema hivi: “Uwe na hekima , mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie.”
SURA 42
Kwa Nini Tufanye Kazi?
Kazi inatufaidi kimwili na kiakili pia. Jifunze jinsi unavyoweza kufurahia kufanya kazi.
SURA 43
Ndugu Zetu na Dada Zetu Ni Akina Nani?
Je, wanatia ndani watu ambao si watoto wa wazazi wetu?
SURA 45
Ufalme wa Mungu Ni Nini? Na Tunaonyeshaje Kwamba Tunautaka?
Yesu atakapoanza kutawala dunia, atafanya mabadiliko makubwa sana.
SURA 48
Unaweza Kuishi Katika Ulimwengu Mpya wa Mungu Wenye Amani
Unapaswa kufanya nini ili ufurahie kuishi milele?