Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu

Kanuni bora zinapatikana katika Biblia.Watoto wanaweza kujifunza si mafundisho ya wanadamu bali ya Baba yao wa mbinguni.

Watoto Wanahitaji Nini Kutoka kwa Wazazi?

Kitabu hiki kimetayarishwa kwa njia ambayo itachochea mazungumzo yenye kujenga kati ya watoto na wale wanaojifunza nao.

SURA 1

Kwa Nini Yesu Alikuwa Mwalimu MKuu

Yesu alifundisha mambo gani? Mafundisho yake yalitoka wapi?

SURA 2

Barua Kutoka kwa Mungu Mwenye Upendo

Barua Yake inapatikana katika kitabu chenye thamani kuliko vitabu vingine vyote.

SURA 3

Yule Aliyeviumba Vitu Vyote

Ni nani aliyewaumba ndege na kuwafundisha kuimba? Ni nani alitokeza nyasi? Ni nani aliyekuumba?

SURA 4

Mungu Ana Jina

Sote tuna majina. Je, unajua Mungu anaitwa nani? Kwa nini jina hilo ni muhimu?

SURA 5

“Huyu Ni Mwanangu”

Kwa nini Yesu alikuwa mtu wa pekee?

SURA 6

Mwalimu Mkuu Aliwahudumia Wengine

Je, unafurahi mtu anapokufanyia jambo zuri? Sisi sote hufurahi, na Mwalimu Mkuu alijua hivyo.

SURA 7

Utii Unakulinda Wewe

Watoto wanaweza kujifunza kutoka kwa watu wazima. Mungu anapotuambia tufanye jambo fulani, tuna uhakika kwamba ni sawa kulifanya.

SURA 8

Wengine Wana Mamlaka Kuliko Sisi

Baadhi yao ni wazuri na wengine ni wabaya.

SURA 9

Tuepuke Vishawishi

Unapaswa kufanya nini mtu akikushawishi kufanya makosa?

SURA 10

Yesu Ana Mamlaka Kuliko Roho Waovu

Hatupaswi kuwaogopa roho waovu, lakini tunapaswa kujilinda ili wasitupotoshe.

SURA 11

Msaada wa Malaika wa Mungu

Malaika wa Mungu huwasaidia watu ambao wanaompenda Yehova na kumtumikia.

SURA 12

Yesu Anatufundisha Kusali

Unaweza kuzungumza na Mungu wakati wowote iwe ni mchana au usiku, naye atakusikia.

SURA 13

Wale Walioitwa Wawe Wanafunzi wa Yesu

Walikuwa watu wa namna gani?

SURA 14

Kwa Nini Tuwe Wenye Kusamehe

Yesu alisimulia hadithi ili kutusaidia kuelewa.

SURA 15

Jinsi ya Kuwa Mwenye Fadhili

Jifunze somo kutoka kwa hadithi ya Msamaria mwenye fadhili.

SURA 16

Ni Nini Ambacho Kwa Kweli Ni cha Maana Maishani?

Tunawezaje kuwa tajiri kumwelekea Mungu?

SURA 17

Jinsi ya Kuwa Wenye Furaha

Mwalimu Mkuu anafunua siri ya maana.

SURA 18

Je, Wewe Hukumbuka Kusema Asante?

Unaweza kujifunza kutokana na mfano wa watu kumi wenye ukoma.

SURA 19

Je, Ni Vizuri Kupigana?

Unapaswa kufanya nini tatizo likianza?

SURA 20

Je, Unapenda Kujitanguliza Kila Wakati?

Yesu aliwaambia nini wanafunzi wake walipobishania hilo?

SURA 21

Je, Ni Vizuri Kujisifia Jambo Lolote?

Yesu anasimulia hadithi ya Farisayo na mkusanya kodi.

SURA 22

Kwa Nini Hatupaswi Kusema Uwongo?

Yehova alimwua Anania na Safira.

SURA 23

Kwa Nini Tunakuwa Wagonjwa?

Je, kuna wakati ambapo watu hawatakuwa wagonjwa tena?

SURA 24

Usiwe Mwizi Kamwe!

Chunguza mifano ya watu wanne ambao waliiba.

SURA 25

Je, Watu Wanaofanya Mabaya Wanaweza Kubadilika?

Mifano ya Sauli na kahaba inajibu swali hilo.

SURA 26

Kwa Nini Si Rahisi Kutenda Mema?

Watu watatendaje ikiwa utakataa kufanya yale wanayotaka ufanye?

SURA 27

Mungu Wako Ni Nani?

Leo, watu huabudu miungu wengi. Unapaswa kufanya nini? Vijana watatu Waebrania wanajibu swali hilo.

SURA 28

Jinsi ya Kujua Yule Tunayepaswa Kumtii

“Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”

SURA 29

Je, Karamu Zote Zinampendeza Mungu?

Je unajua kwamba kuna masimulizi ya karamu kadhaa katika Biblia. Acheni tuone maoni ya Mungu kuzihusu.

SURA 30

Jinsi Tunavyoweza Kuushinda Woga

Mwalimu Mkuu hakusema itakuwa rahisi kumtumikia Yehova. Hata hivyo, tunaweza kuwa jasiri.

SURA 31

Mahali pa Kupata Faraja

Unapaswa kufanya nini ukihuzunika au kuhisi mpweke?

SURA 32

Jinsi Yesu Alivyolindwa

Jifunze njia mbalimbali ambazo Yehova alimlinda Yesu kutokana na watu waliotaka kumuua alipokuwa mtoto.

SURA 33

Yesu Anaweza Kutulinda

Alipokuwa duniani, Yesu alionyesha jinsi angewalinda wale wanaompenda.

SURA 34

Inakuwaje Tunapokufa?

Je, unapaswa kuogopa kifo au wale waliokufa?

SURA 35

Tunaweza Kufufuliwa!

Mungu alimpatia Yesu nguvu za kuwafufua watu kutia ndani watoto.

SURA 36

Ni Nani Watakaofufuliwa? Nao Wataishi Wapi?

Yesu alijibu maswali hayo jinsi gani?

SURA 37

Kumkumbuka Yehova na Mwana Wake

Yesu aliwafundisha wafuasi wake njia ya pekee ya kukumbuka kile ambacho Yehova na Yesu walitufanyia.

SURA 38

Kwa Nini Tumpende Yesu?

Alitoa uhai wake mkamilifu ili tuweze kuishi milele!

SURA 39

Mungu Amkumbuka Mwana Wake

Yesu afufuliwa.

SURA 40

Jinsi ya Kumfurahisha Mungu

Methali moja ya Biblia inasema hivi: “Uwe na hekima , mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie.”

SURA 41

Watoto Wanaomfurahisha Mungu

Ni mambo gani yanayoweza kumfurahisha Mungu?

SURA 42

Kwa Nini Tufanye Kazi?

Kazi inatufaidi kimwili na kiakili pia. Jifunze jinsi unavyoweza kufurahia kufanya kazi.

SURA 43

Ndugu Zetu na Dada Zetu Ni Akina Nani?

Je, wanatia ndani watu ambao si watoto wa wazazi wetu?

SURA 44

Rafiki Zetu Wanapaswa Kuwa Watu Wanaompenda Mungu

“Mashirika mabaya huharibu tabia nzuri.”

SURA 45

Ufalme wa Mungu Ni Nini? Na Tunaonyeshaje Kwamba Tunautaka?

Yesu atakapoanza kutawala dunia, atafanya mabadiliko makubwa sana.

SURA 46

Je, Mungu Atauharibu Ulimwengu Tena Kwa Maji

Waadilifu wataishi duniani milele.

SURA 48

Unaweza Kuishi Katika Ulimwengu Mpya wa Mungu Wenye Amani

Unapaswa kufanya nini ili ufurahie kuishi milele?