Jumapili
“Macho yenu ni yenye furaha kwa sababu yanaona na masikio yenu kwa sababu yanasikia”—Mathayo 13:16
Asubuhi
-
3:20 Video ya Muziki
-
3:30 Wimbo Na. 68 na Sala
-
3:40 MFULULIZO: Kutumia Masomo Kutokana na Mifano ya Yesu
-
• Aina Nne za Udongo (Mathayo 13:18-23)
-
• Ngano na Magugu (Mathayo 13:24-30)
-
• Mbegu ya Haradali (Mathayo 13:31, 32)
-
• Chachu (Mathayo 13:33)
-
• Wavu wa Kukokotwa (Mathayo 13:47-50)
-
-
5:00 Wimbo Na. 64 na Matangazo
-
5:10 HOTUBA YA WATU WOTE: Je, Umepata Hazina Yenye Thamani Kuliko Dhahabu na Fedha? (Mathayo 13:44-46)
-
5:40 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
-
6:10 Wimbo Na. 140 na Mapumziko
Alasiri
-
7:35 Video ya Muziki
-
7:45 Wimbo Na. 108
-
7:50 DRAMA YA BIBLIA:
Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 6
“Je, Wewe Ndiye Yule Anayekuja?” (Mathayo 8:5-13; 11:2–13:53; Marko 3:19–4:34; Luka 7:1–8:21)
-
8:35 Wimbo Na. 120 na Matangazo
-
8:45 Umejifunza Masomo Gani?
-
8:55 “Macho Yenu Ni Yenye Furaha kwa Sababu Yanaona” (Mathayo 7:1-5; 13:16, 17; Luka 6:46-49; 10:21; Yohana 17:6; Yakobo 1:22-25)
-
9:45 Wimbo Na. 163 na Sala ya Mwisho

