Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 140

Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!

Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!

(Yohana 3:16)

  1. 1. Wazia watu wote,

    Wakiishi pamoja!

    Kwa amani na shangwe!

    Bila maumivu!

    (KORASI)

    Imba kwa furaha!

    Waweza kuwapo.

    Na mwishowe upate,

    Uzima milele!

  2. 2. Wazia siku hizo,

    Wote wawe vijana.

    Bila shida, machozi

    Wala woga kamwe.

    (KORASI)

    Imba kwa furaha!

    Waweza kuwapo.

    Na mwishowe upate,

    Uzima milele!

  3. 3. Tusifu Mungu wetu

    Kwa paradiso hiyo.

    Kila siku, tuseme

    “Asante Yehova! ”

    (KORASI)

    Imba kwa furaha!

    Waweza kuwapo.

    Na mwishowe upate,

    Uzima milele!