Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Septemba 9-​15

WAEBRANIA 9-10

Septemba 9-​15
  • Wimbo 10 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Kivuli cha Mambo Mema Yatakayokuja”: (Dak. 10)

    • Ebr 9:12-14—Damu ya Kristo ni bora kuliko damu ya mbuzi na ng’ombe dume (it-1 862 ¶1)

    • Ebr 9:24-26—Kristo alipeleka thamani ya dhabihu yake mbele za Mungu mara moja kwa wakati wote (cf 183 ¶4)

    • Ebr 10:1-4—Sheria iliwakilisha jambo bora zaidi (it-2 602-603)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ebr 9:16, 17—Mistari hii inamaanisha nini? (w92 3/1 31 ¶4-6)

    • Ebr 10:5-7—Yesu alisema maneno hayo wakati gani, na yalimaanisha nini? (it-1 249-250)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ebr 9:1-14 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 89

  • Je, Tunathamini Mikutano Yetu? (Zb 27:11): (Dak. 12) Onyesha video. Kisha mzungumzie maswali yafuatayo:

    • Tunanufaika na huduma zipi kutoka kwa Kuhani Mkuu, Yesu?

    • Tunaweza kuonyesha uthamini wetu katika njia zipi tatu?

  • Sikiliza Wakati wa Mikutano: (Dak. 3) Onyesha video. Kisha waombe watoto waeleze kwa nini wanahitaji kusikiliza kwa makini.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 83

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 108 na Sala