Septemba 9-15
WAEBRANIA 9-10
Wimbo 10 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kivuli cha Mambo Mema Yatakayokuja”: (Dak. 10)
Ebr 9:12-14—Damu ya Kristo ni bora kuliko damu ya mbuzi na ng’ombe dume (it-1 862 ¶1)
Ebr 9:24-26—Kristo alipeleka thamani ya dhabihu yake mbele za Mungu mara moja kwa wakati wote (cf 183 ¶4)
Ebr 10:1-4—Sheria iliwakilisha jambo bora zaidi (it-2 602-603)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ebr 9:16, 17—Mistari hii inamaanisha nini? (w92 3/1 31 ¶4-6)
Ebr 10:5-7—Yesu alisema maneno hayo wakati gani, na yalimaanisha nini? (it-1 249-250)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Ebr 9:1-14 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 2)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 11)
MAISHA YA MKRISTO
Je, Tunathamini Mikutano Yetu? (Zb 27:11): (Dak. 12) Onyesha video. Kisha mzungumzie maswali yafuatayo:
Tunanufaika na huduma zipi kutoka kwa Kuhani Mkuu, Yesu?
Tunaweza kuonyesha uthamini wetu katika njia zipi tatu?
Sikiliza Wakati wa Mikutano: (Dak. 3) Onyesha video. Kisha waombe watoto waeleze kwa nini wanahitaji kusikiliza kwa makini.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 83
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 108 na Sala