JW Library kwa Ajili ya Vifaa vya Apple
JW Library ni programu rasmi iliyotayarishwa na Mashahidi wa Yehova. Inatia ndani tafsiri kadhaa za Biblia, pamoja na vitabu na broshua za kujifunzia Biblia.
Ni Nini Kipya Katika Toleo la 11.0
Utegemezo kwa Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya (Toleo la Funzo)
Utegemezo wa rekodi za kusikiliza za maelezo ya picha kwenye Toleo la Funzo la Biblia
Pata matokeo unapotafuta kwa ujumla kutoka kwa Kamusi na Mwongozo wa Utafiti, sehemu hizo mbili zimeongezwa juu ya matokeo kutoka kitabu Insight
KATIKA SEHEMU HII
Anza Kutumia JW Library—iOS
Jifunze jinsi ya kutumia sehemu mbalimbali muhimu za JW Library kwenye vifaa vya iOS.
Pakua na Utumie Biblia—iOS
Jifunze jinsi ya kupakua na kutumia Biblia kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Pakua na Utumie Machapisho—iOS
Jifunze jinsi ya kupakua na kutumia machapisho kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Tumia Vialamisho, au, Alama za Kukumbuka Ukurasa—iOS
Jifunze jinsi ya kutumia alama za kukumbuka ukurasa kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Tumia Historia—iOS
Jifunze jinsi ya kutumia sehemu ya historia kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Panga Habari Kulingana na Mapendezi Yako—iOS
Jifunze jinsi ya kupanga habari kulingana na mapendezi yako kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Tafuta Katika Biblia au Chapisho—iOS
Jifunze jinsi ya kutafuta neno au kifungu cha meneno katika Biblia au chapisho, na kutafuta habari hususa kwenye Insight on the Scriptures kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Tia Alama Maandishi—iOS
Jifunze jinsi ya kutia alama maandishi kwenye JW Library katika vifaa vya iOS.
Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi—JW Library (iOS)
Pata majibu ya maswali yanayoulizwa mara nyingi.