MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Agosti 2016

Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 26 hadi Oktoba 23, 2016.

SIMULIZI LA MAISHA

Furaha Ambayo Nimepata kwa Kutoa

Kijana kutoka Uingereza alianza maisha yaliyomletea furaha kwa kuwa mmishonari nchini Puerto Riko.

Ndoa​—Chanzo na Kusudi Lake

Je, kweli ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu?

Tafuta Kitu Chenye Thamani Zaidi Kuliko Dhahabu

Jifunze kuhusu njia tatu ambazo wanafunzi wa Biblia wenye bidii wanaweza kulinganishwa na watafutaji wa dhahabu.

Je, Unaona Uhitaji wa Kufanya Maendeleo ya Kiroho?

Jifunze jinsi unavyoweza kufanya maendeleo ya kiroho.

Je, Unaona Umuhimu wa Kuwazoeza Wengine?

Tunaweza kuwasaidia wafikie malengo gani muhimu?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini maadui wa Yesu waliona kunawa mikono kuwa jambo zito?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

“Ninapata Matokeo Yanayomtukuza Yehova”

Ingawa wanafunzi wa Biblia hawakuelewa kikamili suala la kutounga mkono upande wowote katika vita vya kwanza vya ulimwengu, unyoofu wao ulikuwa na matokeo mazuri.