MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Agosti 2016
Toleo hili lina makala za funzo za Septemba 26 hadi Oktoba 23, 2016.
SIMULIZI LA MAISHA
Furaha Ambayo Nimepata kwa Kutoa
Kijana kutoka Uingereza alianza maisha yaliyomletea furaha kwa kuwa mmishonari nchini Puerto Riko.
Ndoa—Chanzo na Kusudi Lake
Je, kweli ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu?
Jinsi ya Kufanikiwa Katika Ndoa ya Kikristo
Pata ushauri wenye matokeo.
Tafuta Kitu Chenye Thamani Zaidi Kuliko Dhahabu
Jifunze kuhusu njia tatu ambazo wanafunzi wa Biblia wenye bidii wanaweza kulinganishwa na watafutaji wa dhahabu.
Je, Unaona Uhitaji wa Kufanya Maendeleo ya Kiroho?
Jifunze jinsi unavyoweza kufanya maendeleo ya kiroho.
Je, Unaona Umuhimu wa Kuwazoeza Wengine?
Tunaweza kuwasaidia wafikie malengo gani muhimu?
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Kwa nini maadui wa Yesu waliona kunawa mikono kuwa jambo zito?
HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE
“Ninapata Matokeo Yanayomtukuza Yehova”
Ingawa wanafunzi wa Biblia hawakuelewa kikamili suala la kutounga mkono upande wowote katika vita vya kwanza vya ulimwengu, unyoofu wao ulikuwa na matokeo mazuri.