Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

MATUKIO YANAYOFANANA

1. Chora mviringo kwenye mambo yanayotajwa hapa ambayo yalitukia kwa Musa na Yesu pia.

Aliitwa kutoka Misri

Aliponea kuuawa akiwa mtoto

Alitoa maji kwenye mwamba

Alifunga kwa siku 40

Alifufuliwa

Alitundikwa kwenye mti

Mwili wake ulizikwa na Yehova

◆ Musa alionekana akiwa amesimama kando ya Yesu wakati gani?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◆ Ni nani mwingine aliyekuwa pamoja naye?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Zungumzeni Pamoja: Yesu alikuwa nabii kama Musa katika njia gani nyingine?—Matendo 3:22.

ILITUKIA LINI?

Chora mstari kuunganisha kila tukio na mwaka ambao lilitukia.

1077 K.W.K. Yapata 940 Yapata 844 Kuanzia 778 Kuanzia 322

2. Isaya 1:1

3. Yona 1:14-17

4. 1 Wafalme 17:2, 3

MIMI NI NANI?

5. Binti yangu aliua watu wake wa ukoo na kutwaa utawala wa Yuda. Lakini kama mimi, yeye alikuwa malkia aliyeuawa kikatili.

MIMI NI NANI?

6. Nilitabiri mahali ambapo Masihi angezaliwa.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 11 Kwa nini Mungu huona damu kuwa takatifu? (Mwanzo 9:____)

Ukurasa wa 13 Mashua ya Galilaya ya karne ya kwanza ingeweza kubeba watu wangapi? (Yohana 21:____)

Ukurasa wa 24 Inakuwaje tunapotanguliza masilahi ya wengine? (Methali 11:____)

Ukurasa wa 29 Tunajuaje kwamba watu waliokufa hawaishi wakiwa malaika mbinguni? (Mhubiri 9:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 27)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Aliitwa kutoka Misri. Aliponea kuuawa akiwa mtoto. Alifunga kwa siku 40. Mwili wake ulizikwa na Yehova.

◆ Wakati wa maono ya kugeuka sura.—Mathayo 17:1-3.

◆ Eliya.

2. Kuanzia 778 K.W.K.

3. Yapata 844 K.W.K.

4. Yapata 940 K.W.K.

5. Yezebeli.

6. Mika.—Mika 5:2.