Julai 15-21
2 WATHESALONIKE 1-3
Wimbo 67 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kufunuliwa kwa Yule Mwasi Sheria”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 2 Wathesalonike.]
2Th 2:6-8—“Yule mwasi sheria,” ambaye tayari anafanya kazi, angefunuliwa (it-1 972-973)
2Th 2:9-12—Wale wanaodanganywa na “yule mwasi sheria” watahukumiwa (it-2 245 ¶7)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
2Th 1:7, 8—Ni katika maana gani ufunuo wa Yesu na malaika utakuwa “katika mwali wa moto”? (it-1 834 ¶5)
2Th 2:2—Paulo alimaanisha nini alipozungumza kuhusu “maneno yaliyoongozwa na roho”? (it-1 1206 ¶4-6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Th 1:1-12 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 6)
Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Isizidi dak.4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo, na kisha utoe utangulizi wa kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo la 12)
MAISHA YA MKRISTO
Je, Umepoteza Hamu ya Kuhubiri?: (Dak. 15) Onyesha video Chochea Huduma Yako—Jinsi Gani?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 75
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 111 na Sala