Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Julai 15-​21

2 WATHESALONIKE 1-3

Julai 15-​21
  • Wimbo 67 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Kufunuliwa kwa Yule Mwasi Sheria”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • 2Th 1:7, 8—Ni katika maana gani ufunuo wa Yesu na malaika utakuwa “katika mwali wa moto”? (it-1 834 ¶5)

    • 2Th 2:2—Paulo alimaanisha nini alipozungumza kuhusu “maneno yaliyoongozwa na roho”? (it-1 1206 ¶4-6)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Th 1:1-12 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO