“KUTOA USHAHIDI KAMILI” KUHUSU UFALME WA MUNGU

“Kutaniko. . .Likaanza Kuteswa Sana”

Kiswahili
“Kutaniko. . .Likaanza Kuteswa Sana”
https://cms-imgp.jw-cdn.org/img/p/1102009047/univ/art/1102009047_univ_sqr_xl.jpg
bt uku. 44

Sehemu Ya 2 • MATENDO 6:8–9:43

“Kutaniko. . .Likaanza Kuteswa Sana”

“Kutaniko. . .Likaanza Kuteswa Sana”

MATENDO 8:1

Je, upinzani uliwazuia Wakristo wa karne ya kwanza kutoa ushahidi kuhusu Ufalme wa Mungu? Hapana. Katika sehemu hii, tutaona jinsi mateso hayo makali yalivyochangia kuenea kwa kazi ya kuhubiri.