Igeni Imani Yao

Tunawezaje kufaidika kwa kusoma kuhusu wanaume na wanawake wanotajwa katika Biblia ambao walikuwa na imani?

Mfuatano wa Matukio

Mfuatano wa matukio na ramani zitakusaidia kuwazia wakati na mahali ambapo watu hawa waaminifu wanaotajwa katika Biblia waliishi.

Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza

Baraza Linaloongoza linawatia moyo wote wafaidike kikamili kwa kusoma na kujifunza kitabu hiki wakiwa peke yao na kama familia.

Utangulizi

Biblia ina masimulizi mengi kuhusu wanaume na wanawake waaminifu. Tunawezaje kufaidika na mifano yao?

ABELI

“Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”

Tunaweza kujifunza nini kumhusu Abeli na imani yake ingawa Biblia haisemi mengi kumhusu?

NOA

“Alitembea Pamoja na Mungu wa Kweli”

Noa na mke wake walikabili matatizo gani katika kuwalea watoto wao? Walionyeshaje imani kwa kujenga safina?

ABRAMU

“Baba ya Wale Wote Walio na Imani”

Abramu alionyeshaje imani? Ungependa kuiga imani ya Abramu katika njia zipi?

RUTHU

“Uendako Nitaenda”

Kwa nini Ruthu alikuwa tayari kuacha familia na nchi yake? Alisitawisha sifa gani ambazo zilimfanya awe mwenye thamani machoni pa Yehova?

RUTHU

“Mwanamke Bora Sana”

Kwa nini ndoa kati ya Ruthu na Boazi ni muhimu sana? Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Ruthu na Naomi kuhusu familia?

HANA

Alimweleza Mungu Mahangaiko Yake

Imani ya Hana katika Yehova ilimsaidia kukabiliana na hali ngumu sana.

SAMUEL

‘Aliendelea Kukua Akiwa na Yehova’

Kwa nini maisha ya utotoni ya Samweli hayakuwa ya kawaida? Ni nini kilichomsaidia kusitawisha imani alipokuwa kwenye maskani?

SAMWELI

Alivumilia Licha ya Kuvunjwa Moyo

Sisi sote hukabili matatizo na mambo yanayovunja moyo ambayo hujaribu imani yetu. Uvumilivu wa Samweli unaweza kutufunza nini?

ABIGAILI

Alitenda kwa Busara

Tunaweza kujifunza nini kutokana na ndoa ya Abigaili yenye matatizo?

ELIYA

Alitetea Ibada Safi

Tunawezaje kumwiga Eliya tunaposhughulika na watu wanaopinga mafundisho ya Biblia?

ELIYA

Alikaa Macho, na Kungoja

Nabii Eliya alionyeshaje kwamba alisali alipokuwa akisubiri Yehova atimize ahadi yake?

ELIYA

Alifarijiwa na Mungu Wake

Ni nini kilichofanya Eliya avunjike moyo sana, hivi kwamba akatamani kufa?

YONA

Alijifunza Kutokana na Makosa Yake

Je, unaelewa ni kwa nini Yona alisita kukubali mgawo? Hadithi yake inatufundisha masomo muhimu kuhusu subira na rehema ya Yehova.

YONA

Alijifunza Kuwa Mwenye Rehema

Simulizi la Yona linatusaidiaje kujichunguza kwa unyoofu?

ESTA

Aliwatetea Watu wa Mungu

Ili kuonyesha upendo wa kujidhabihu kama wa Esta tunahitaji imani na ujasiri.

ESTA

Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi

Esta alitendaje bila ubinafsi kwa ajili ya Yehova na watu wake?

MARIA

“Tazama! Kijakazi wa Yehova!”

Jibu la Maria kwa malaika Gabrieli linafunua nini kuhusu imani yake? Alionyesha sifa gani nyingine muhimu?

MARIA

Alikata “Kauli Moyoni Mwake”

Mambo ambayo Maria alijionea huko Bethlehemu yaliimarisha imani yake katika ahadi za Yehova.

YOSEFU

Alikuwa Baba na Mume Aliyemwogopa Mungu

Yosefu aliilindaje familia yake? Kwa nini alimpeleka Maria na Yesu Misri?

MARTHA

“Nimeamini”

Martha alionyeshaje imani thabiti hata wakati wa majonzi?

PETRO

Alishinda Woga na Shaka

Shaka inaweza kuleta matokeo mabaya sana. Lakini Petro alishinda woga na shaka kuhusu kumfuata Yesu.

PETRO

Alikuwa Mshikamanifu Licha ya Majaribu

Imani na ushikamanifu wa Petro ulimsaidiaje kukubali aliporekebishwa na Yesu?

PETRO

Alijifunza Kusamehe Kutoka kwa Bwana Wake

Yesu alimfunzaje Petro kusamehe? Yesu alionyeshaje kwamba alikuwa amemsamehe Petro?

Umalizio

Unawezaje kuendelea kuimarisha imani yako na kukumbuka tumaini lako?

Huenda Ukapenda Pia

IMANI KATIKA MUNGU

Igeni Imani Yao​—Wanaume na Wanawake Katika Biblia

Iga mifano ya wanaume na wanawake waaminifu wanaotajwa katika Biblia na umkaribie Mungu.