Igeni Imani Yao
Tunawezaje kufaidika kwa kusoma kuhusu wanaume na wanawake wanotajwa katika Biblia ambao walikuwa na imani?
Mfuatano wa Matukio
Mfuatano wa matukio na ramani zitakusaidia kuwazia wakati na mahali ambapo watu hawa waaminifu wanaotajwa katika Biblia waliishi.
Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza
Baraza Linaloongoza linawatia moyo wote wafaidike kikamili kwa kusoma na kujifunza kitabu hiki wakiwa peke yao na kama familia.
Utangulizi
Biblia ina masimulizi mengi kuhusu wanaume na wanawake waaminifu. Tunawezaje kufaidika na mifano yao?
ABELI
“Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”
Tunaweza kujifunza nini kumhusu Abeli na imani yake ingawa Biblia haisemi mengi kumhusu?
NOA
“Alitembea Pamoja na Mungu wa Kweli”
Noa na mke wake walikabili matatizo gani katika kuwalea watoto wao? Walionyeshaje imani kwa kujenga safina?
ABRAMU
“Baba ya Wale Wote Walio na Imani”
Abramu alionyeshaje imani? Ungependa kuiga imani ya Abramu katika njia zipi?
RUTHU
“Uendako Nitaenda”
Kwa nini Ruthu alikuwa tayari kuacha familia na nchi yake? Alisitawisha sifa gani ambazo zilimfanya awe mwenye thamani machoni pa Yehova?
RUTHU
“Mwanamke Bora Sana”
Kwa nini ndoa kati ya Ruthu na Boazi ni muhimu sana? Tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Ruthu na Naomi kuhusu familia?
HANA
Alimweleza Mungu Mahangaiko Yake
Imani ya Hana katika Yehova ilimsaidia kukabiliana na hali ngumu sana.
SAMUEL
‘Aliendelea Kukua Akiwa na Yehova’
Kwa nini maisha ya utotoni ya Samweli hayakuwa ya kawaida? Ni nini kilichomsaidia kusitawisha imani alipokuwa kwenye maskani?
SAMWELI
Alivumilia Licha ya Kuvunjwa Moyo
Sisi sote hukabili matatizo na mambo yanayovunja moyo ambayo hujaribu imani yetu. Uvumilivu wa Samweli unaweza kutufunza nini?
ELIYA
Alitetea Ibada Safi
Tunawezaje kumwiga Eliya tunaposhughulika na watu wanaopinga mafundisho ya Biblia?
ELIYA
Alikaa Macho, na Kungoja
Nabii Eliya alionyeshaje kwamba alisali alipokuwa akisubiri Yehova atimize ahadi yake?
ELIYA
Alifarijiwa na Mungu Wake
Ni nini kilichofanya Eliya avunjike moyo sana, hivi kwamba akatamani kufa?
YONA
Alijifunza Kutokana na Makosa Yake
Je, unaelewa ni kwa nini Yona alisita kukubali mgawo? Hadithi yake inatufundisha masomo muhimu kuhusu subira na rehema ya Yehova.
ESTA
Aliwatetea Watu wa Mungu
Ili kuonyesha upendo wa kujidhabihu kama wa Esta tunahitaji imani na ujasiri.
ESTA
Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi
Esta alitendaje bila ubinafsi kwa ajili ya Yehova na watu wake?
MARIA
“Tazama! Kijakazi wa Yehova!”
Jibu la Maria kwa malaika Gabrieli linafunua nini kuhusu imani yake? Alionyesha sifa gani nyingine muhimu?
MARIA
Alikata “Kauli Moyoni Mwake”
Mambo ambayo Maria alijionea huko Bethlehemu yaliimarisha imani yake katika ahadi za Yehova.
YOSEFU
Alikuwa Baba na Mume Aliyemwogopa Mungu
Yosefu aliilindaje familia yake? Kwa nini alimpeleka Maria na Yesu Misri?
PETRO
Alishinda Woga na Shaka
Shaka inaweza kuleta matokeo mabaya sana. Lakini Petro alishinda woga na shaka kuhusu kumfuata Yesu.
PETRO
Alikuwa Mshikamanifu Licha ya Majaribu
Imani na ushikamanifu wa Petro ulimsaidiaje kukubali aliporekebishwa na Yesu?
PETRO
Alijifunza Kusamehe Kutoka kwa Bwana Wake
Yesu alimfunzaje Petro kusamehe? Yesu alionyeshaje kwamba alikuwa amemsamehe Petro?
Umalizio
Unawezaje kuendelea kuimarisha imani yako na kukumbuka tumaini lako?
Huenda Ukapenda Pia
IMANI KATIKA MUNGU
Igeni Imani Yao—Wanaume na Wanawake Katika Biblia
Iga mifano ya wanaume na wanawake waaminifu wanaotajwa katika Biblia na umkaribie Mungu.