Jumamosi
“Kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko ilivyo katika kupokea”—Matendo 20:35
Asubuhi
-
3:20 Video ya Muziki
-
3:30 Wimbo Na. 111 na Sala
-
3:40 “Akafungua Kinywa Chake Akaanza Kuwafundisha” (Mathayo 5:1, 2)
-
3:50 DRAMA YA BIBLIA:
Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 5
‘Walishangazwa na Njia Yake ya Kufundisha’ (Mathayo 5:3–7:29; Luka 6:17-49)
-
4:25 Wimbo Na. 89 na Matangazo
-
4:35 Ni Nini Kinachoweza Kutunyima Furaha? (Luka 6:24-26)
-
4:50 Je, Unaweza Kutambua Kanuni Inayotegemeza Sheria? (Mathayo 5:17-48)
-
5:15 MFULULIZO: Jifunze Kuhusu Nchi Ambayo Yesu Aliishi
-
• Chumvi na Nuru (Mathayo 5:13-16)
-
• Mimea na Wanyama (Mwanzo 1:28, 29; Mathayo 6:19, 26, 28; 7:6, 10, 15, 16)
-
-
5:40 UBATIZO: “Baba Yako Anayetazama Akiwa Mahali Pa Siri Atakulipa” (Mathayo 6:6)
-
6:10 Wimbo Na. 51 na Mapumziko
Alasiri
-
7:35 Video ya Muziki
-
7:45 Wimbo Na. 125
-
7:50 MFULULIZO: “Wenye Furaha Ni . . . ”
-
• “Wale Wanaotambua Uhitaji Wao wa Kiroho” (Mathayo 5:3)
-
• “Wale Wanaoomboleza” (Mathayo 5:4)
-
• “Wale Walio Wapole” (Mathayo 5:5)
-
• “Wale Walio na Njaa na Kiu ya Uadilifu” (Mathayo 5:6)
-
• “Wale Wenye Rehema” (Mathayo 5:7)
-
• “Wale Walio Safi Moyoni” (Mathayo 5:8)
-
• “Wale Wanaofanya Amani” (Mathayo 5:9)
-
• “Wale Ambao Wameteswa kwa Ajili ya Uadilifu” (Mathayo 5:10)
-
• “Ninyi, Watu Wanapowashutumu” (Mathayo 5:11, 12)
-
-
9:20 Wimbo Na. 81 na Matangazo
-
9:30 “Kwa Nini Mnahangaika?” (Mathayo 6:19-33)
-
9:55 “Ingieni Kupitia Lango Jembamba” (Mathayo 7:1-5, 12-14, 16-18, 24-27)
-
10:30 Wimbo Na. 21 na Sala ya Mwisho

