AMKENI!

Yaliyomo

Kiswahili
Yaliyomo
/assets/ct/fa815d8e9f/images/syn_placeholder_sqr.png
Yaliyomo

Yaliyomo

Julai 8, 2004

Kukabili Magumu ya Kubalehe

Kubalehe kumelinganishwa na “kutembea juu ya kamba iliyoning’inizwa hewani bila kitu cha kukukinga unapoanguka chini.” Vijana wanaweza kukabilianaje na kipindi hicho kwa mafanikio?

3 Kubalehe Ni Kipindi Kizuri na Kigumu

4 ‘Kwani Nina Shida Gani?’

8 “Mkumbuke Muumba Wako”

10 Mrujuani—Una Harufu Nzuri

16 Daraja la Pekee Lililobadilisha Kisiwa

24 “Baraza la Jiji Hali Paswi Kupiga Ubwana”

26 Maoni ya Biblia

Inamaanisha Nini Kuwa Kichwa cha Familia?

28 Kuutazama Ulimwengu

30 Kutoka kwa Wasomaji Wetu

31 Je, Ungependa Kuonja Maua ya Mung’unye?

32 Mama Mwenye Ufahamu

Bia—Hadithi ya Kinywaji Chenye Rangi ya Dhahabu 12

Wanadamu wametengeneza bia kwa maelfu ya miaka. Soma kuhusu historia yake yenye kusisimua.

Muziki Unaochezwa kwa Vidole 20

Piano imeitwa bendi ya mtu mmoja. Ilitengenezwaje? Kwa nini inapendwa sana?