Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Juni 8-14

MWANZO 46-47

Juni 8-14

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Waokolewa Kutokana na Njaa Kali”: (Dak. 10)

    • Mwa 47:13—Kulikuwa na njaa kali sana huko Misri na Kanaani (w87 5/1 15 ¶2)

    • Mwa 47:16, 19, 20—Wamisri walipaswa kujidhabihu ili kuokoa uhai wao

    • Mwa 47:23-25—Jitihada zinahitajika ili kufaidika kutokana na chakula kingi cha kiroho kinachopatikana leo (kr 235 ¶11-12)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 46:4—Yehova alimaanisha nini aliposema Yosefu “atayafumba macho [ya Yakobo] kwa mkono wake”? (it-1 220 ¶1)

    • Mwa 46:26, 27—Ni watu wangapi wa nyumba ya Yakobo walioingia Misri? (nwtsty habari za utafiti Mdo 7:14)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 47:1-17 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO