Juni 1-7
MWANZO 44-45
Wimbo 130 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yosefu Awasamehe Ndugu Zake”: (Dak. 10)
Mwa 44:1, 2—Yosefu aliwajaribu ndugu zake ili ajue nia yao (w15 5/1 14-15) *
Mwa 44:33, 34—Yuda alimsihi Yosefu amwachilie Benjamini
Mwa 45:4, 5—Yosefu alimwiga Yehova kwa kuwa tayari kusamehe
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 44:13—Kurarua mavazi kulikuwa na maana gani? (it-2 813)
Mwa 45:5-8—Ni nini kinachoweza kutusaidia kuvumilia ukosefu wa haki? (w04 8/15 15 ¶15)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 45:1-15 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kuwaelimisha Wasikilizaji, kisha mzungumzie somo la 18 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w06 2/1 31—Kichwa: Je, Yosefu alitumia kikombe cha pekee cha fedha kusoma ishara za ubashiri, kama ambavyo huenda inadokezwa na Mwanzo 44:5, 15? (th somo la 18)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Onyesha video ya Juni ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 117
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 19 na Sala
^ fu. 7 Ufupisho wa Machapisho: bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight on the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala; nwtsty = Tafsiri ya Ulimwengu Mpya—Toleo la Funzo; g = Amkeni!