Kutuhusu

Mashahidi wa Yehova Ni Nani?

Mashahidi wa Yehova ni shirika la kidini la ulimwenguni pote. Tunamwabudu Yehova, Mungu Mweza-Yote na Muumba. (Zaburi 83:18; Ufunuo 4:11) Sisi ni Wakristo na tunaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu na Mwokozi wetu. (Yohana 3:16; Matendo 4:10-12) Biblia ndio msingi pekee wa imani yetu. (2 Timotheo 3:16) Tunakualika uchunguze baadhi ya mambo tunayoamini kwa kutumia tovuti hii pamoja na Biblia yako.

Jifunze kutuhusu kwa kutazama video Mashahidi wa Yehova Ni Nani?

Takwimu

Habari kulingana na Eneo

Frequently Asked Questions

Mashahidi wa Yehova Wanaamini Nini?

Tambua kwa ufupi mambo 15 ya msingi tunayoamini.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekei Sikukuu Fulani?

Chunguza maswali manne muhimu kuhusu Mashahidi wa Yehova na sikukuu.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekei Siku za Kuzaliwa?

Fikiria mambo manne yanayohusiana na sherehe za siku ya kuzaliwa yanayoonyesha kwa nini Mungu hapendezwi nazo.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanakataa Kutiwa Damu Mishipani?

Kuna maoni mengi yasiyo ya kweli kuhusu Mashahidi wa Yehova na kutiwa damu mishipani. Jifunze kuhusu msimamo wetu kuhusiana na jambo hilo.

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Wakristo?

Tafadhali chunguza uone jinsi tulivyo tofauti na wengine wanaoitwa Wakristo.

Maswali Mengine Yanayoulizwa Mara Nyingi

Pata majibu ya maswali uliyo nayo kutuhusu.

Contact Us

Omba Utembelewe

Zungumzia swali la Biblia, au ujifunze mengi zaidi kuhusu Mashahidi wa Yehova.

Hudhuria Mkutano

Jifunze kuhusu mikutano yetu. Pata mikutano iliyo katika eneo lililo karibu nawe.

Wasiliana na Mashahidi wa Yehova

Habari za mawasiliano za Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote.

Matembezi ya Betheli

Pata kujua ofisi iliyo karibu nawe unayoweza kutembelea.