Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SANDUKU KUFUNDISHIA LA 9E

“Nyakati za Kurudishwa kwa Mambo Yote”

“Nyakati za Kurudishwa kwa Mambo Yote”

MATENDO 3:21

Mtume Petro alipotaja “nyakati za kurudishwa kwa mambo yote,” alikuwa akitoa unabii kuhusu kipindi kirefu cha wakati chenye kusisimua ambacho kingeanza baada ya Kristo kuwekwa kuwa Mfalme na kuendelea mpaka mwisho wa Miaka Elfu Moja.

  1. 1914​—Yesu Kristo awekwa kuwa Mfalme mbinguni. Kurudishwa kiroho kwa watu wa Mungu kunaanza mwaka wa 1919

    Siku za Mwisho

  2. HAR-MAGEDONI​—Utawala wa Kristo wa Miaka Elfu Moja Unaanza, na “nyakati za kurudishwa kwa mambo yote” zinatia ndani baraka za kimwili kwa ajili ya wanadamu waaminifu duniani

    Utawala wa Miaka Elfu Moja

  3. MWISHO WA MIAKA ELFU MOJA​—Yesu akamilisha kazi yote ya kurudisha na kumkabidhi Baba yake Ufalme

    Paradiso ya Milele

UTAWALA WA YESU UTARUDISHA . . .

  • utukufu kwa jina la Mungu

  • afya kwa wagonjwa

  • ujana kwa waliozeeka

  • uhai kwa waliokufa

  • ukamilifu kwa wanadamu waaminifu

  • Paradiso duniani