Tafuta Majibu ya Maswali Haya
1. Tunawezaje kupata “furaha tele katika Yehova”? (Zab. 37:4)
2. Tunawezaje kuwa na furaha licha ya dhambi zetu? (Zab. 32:1, 2)
3. Kwa nini unapaswa kutanguliza ibada ya Yehova maishani? (Zab. 84:4, 10)
4. Ni kwa njia gani tunaweza kuwa na furaha licha ya hali ngumu tunazokabili maishani? (Zab. 34:8; 18:25)
5. Tunawezaje kuepuka furaha bandia? (1 Tim. 6:7, 8; Met. 18:24; Zab. 127:1, 2)
6. Yehova anawasaidiaje watumishi wake wawe na furaha ya kweli? (Mika 2:12; Yak. 3:17; 1 Pet. 5:8)
© 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-brpgm27-SW

