Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 138

Kichwa Chenye Mvi​—⁠Taji la Uzuri

Kichwa Chenye Mvi​—⁠Taji la Uzuri

(Methali 16:31)

  1. 1. Twawaona wazee,

    Pamoja nasi.

    Wanaovumilia;

    Waaminifu.

    Nguvu wamepoteza,

    Ama kufiwa.

    Baba, tunakuomba,

    Uwakumbuke

    (KORASI)

    Baba, ikumbuke,

    Imani yao.

    Uwategemeze;

    Uwapongeze!

  2. 2. Waadilifu wako

    Wanapendeza,

    Mbele zako Yehova.

    Nasi twajua,

    Zamani walikuwa,

    Wenye bidii,

    Walipotumikia,

    Kwa nguvu zote.

    (KORASI)

    Baba, ikumbuke,

    Imani yao.

    Uwategemeze;

    Uwapongeze!