Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 135

Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu”

Mwaliko Wenye Upendo wa Yehova: “Uwe na Hekima, Mwanangu”

(Methali 27:11)

  1. 1. Binti na mwanangu,

    nipe moyo wako.

    Apate kuona

    yule mdhihaki.

    Nawe unitumikie

    kwa kupenda;

    Na ulimwengu

    uone wanipenda.

    (KORASI)

    Binti yangu, nawe mwanangu,

    Furahisha moyo wangu.

    Nitumikie kwa hiari,

    Na kusifu jina langu.

  2. 2. Nitumikie kwa

    shangwe na furaha.

    Ujapoanguka,

    Nitakuinua.

    Hata ukivunjwa moyo

    na yeyote,

    Kumbuka ninakupenda

    sikuzote.

    (KORASI)

    Binti yangu, nawe mwanangu,

    Furahisha moyo wangu.

    Nitumikie kwa hiari,

    Na kusifu jina langu.