MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2017

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 25, 2017 hadi Januari 28, 2018.

Imba kwa Shangwe na Sauti Kubwa!

Ikiwa unaaibika kuimba pamoja na kutaniko, unaweza kufanya nini ili ushinde hisia hiyo na kutumia sauti yako kumsifu Yehova?

Je, Unamfanya Yehova Kuwa Kimbilio Lako?

Mpango wa majiji ya makimbilio katika Israeli la kale unatufundisha kuhusu msamaha wa Mungu.

Iga Haki na Rehema ya Yehova

Majiji ya makimbilio yanaonyeshaje rehema ya Yehova? Yanatufundisha nini kuhusu jinsi anavyouona uhai? Yanaonyeshaje haki yake kamilifu?

‘Mwenye Ukarimu Atabarikiwa’

Tunaweza kutumia wakati, nguvu, na mali zetu kutegemeza kazi ya kuhubiri Ufalme.

Kataa Maoni ya Ulimwengu

Sote tunahitaji kulinda akili zetu zisipotoshwe na mawazo yanayopendwa ulimwenguni. Fikiria mifano mitano inayoonyesha maoni ya ulimwengu.

Usiruhusu Chochote Kikunyang’anye Tuzo

Baada ya kuwakumbusha Wakristo wenzake kuhusu tumaini zuri walilokuwa nalo, mtume Paulo aliwapa maonyo yenye upendo.

Jinsi ya Kuzoea Kutaniko Jipya

Ikiwa unalazimika kuhamia kutaniko jipya, huenda ukawa na wasiwasi. Ni nini kinachoweza kukusaidia kuzoea kutaniko lako jipya?