MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2020

Toleo hili lina makala za funzo za Februari 1-28, 2021.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Je, maneno ya mtume Paulo yanayopatikana kwenye 1 Wakorintho 15:29 yanamaanisha kwamba baadhi ya Wakristo wa wakati huo walibatizwa kwa niaba ya wafu?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Methali 24:16 inasema: “Mwadilifu anaweza kuanguka mara saba, lakini atainuka tena.” Je, andiko hilo linarejelea mtu ambaye anaanguka katika dhambi tena na tena, lakini anasamehewa na Mungu?