Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ILITUKIA WAPI?

Soma simulizi la Biblia katika Mathayo 2:1-16, kisha ujibu maswali yafuatayo.

1. Nyota iliwaongoza wanajimu katika jiji gani kwanza?

Zungushia duara jibu lako kwenye ramani.

Bethlehemu

Yerusalemu

Yeriko

Bethania

◆ Mfalme Herode alitaka wanajimu wafanye nini?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◆ Kwa nini Herode alitaka kujua mahali ambapo Yesu anaweza kupatikana?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

Zungumzeni Pamoja: Kuna tofauti gani kati ya simulizi hilo la Biblia na hadithi za Krismasi?

ILITUKIA LINI?

Taja jina la mwandishi aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.

50 W.K. 65 W.K. 77 W.K. 96 W.K. 98 W.K.

2. 1 Yohana

3. Yuda

4. Ufunuo

MIMI NI NANI?

5. Yohana alinipongeza kwa ukarimu na upendo wangu.

MIMI NI NANI?

6. Ingawa mimi ni wa saba katika nasaba ya Adamu, unabii wangu umerekodiwa katika kitabu cha Yuda.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 4 Wafu wanajua nini? (Mhubiri 9:____)

Ukurasa wa 8 Mungu atafanya nini kuhusu kifo? (Isaya 25:____)

Ukurasa wa 10 Mungu atawafanya nini wale wanaoiharibu dunia? (Ufunuo 11:____)

Ukurasa wa 14 Ili kuepuka ponografia, unapaswa ujifunze kufanya nini? (Zaburi 97:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 28)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Yerusalemu.

◆ Wampate mtoto, kisha wamwambie.

◆ Ili amuue.

2. Mtume Yohana, 98 W.K.

3. Yuda, ndugu wa kambo wa Yesu, 65 W.K.

4. Mtume Yohana, 96 W.K.

5. Gayo.—3 Yoh. 1, 3-6.

6. Enoko.—Yuda 14.