Oktoba 8-14
YOHANA 11-12
Wimbo 16 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Iga Huruma ya Yesu”: (Dak. 10)
Yoh 11:23-26—Yesu alisema maneno ya kumfariji Martha ( “Ninajua atafufuka” habari za utafiti Yoh 11:24, nwtsty; “Mimi ndiye ufufuo na uzima” habari za utafiti Yoh 11:25, nwtsty)
Yoh 11:33-35—Yesu alitaabika sana alipomwona Maria na watu wengine wakilia (“akilia,” “akaugua . . . na kutaabika,” “moyoni” habari za utafiti Yoh 11:33, nwtsty; “akatokwa na machozi” habari za utafiti Yoh 11:35, nwtsty)
Yoh 11:43, 44—Yesu alichukua hatua kuwasaidia wenye uhitaji
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 11:49—Ni nani alimchagua Kayafa awe kuhani mkuu, na alidumu katika cheo hicho kwa muda gani? (“kuhani mkuu” habari za utafiti Yoh 11:49, nwtsty)
Yoh 12:42—Kwa nini baadhi ya Wayahudi waliogopa kumkiri Yesu kuwa Kristo? (“watawala,” “kufukuzwa katika sinagogi” habari za utafiti Yoh 12:42, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 12:35-50
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w13 9/15 32—Kichwa: Kwa Nini Yesu Alitokwa na Machozi Kabla ya Kumfufua Lazaro?
MAISHA YA MKRISTO
Yesu Ndiye “Ufufuo na Uzima” (Yoh 11:25): (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa ‘Kwa Hakika Mungu Alimfanya Bwana na Pia Kristo’—Sehemu ya II, Kisehemu. Kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Simulizi hili linatufundisha nini kuhusu huruma ya Yesu? Ni katika njia gani Yesu ndiye “ufufuo na uzima”? Yesu atafanya miujiza gani wakati ujao?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 38
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 147 na Sala