Ufalme wa Mungu Unatawala!
Mamilioni ya watu wamekuwa na maisha mazuri, yenye furaha na usalama, wakitawaliwa na serikali kamilifu ya Mungu. Je, ungependa kuwa raia wa serikali hiyo?
Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza
Tangazo lenye kusisimua ambalo C. T. Russell alitoa Oktoba 2, 1914 limethibitikaje kuwa kweli?
SURA YA 1
“Ufalme Wako na Uje”
Yesu alifundisha kuhusu Ufalme wa Mungu kuliko alivyofundisha jambo lingine lolote. Utakuja jinsi gani na utakuja lini?
SURA YA 2
Ufalme Unazaliwa Mbinguni
Ni nani aliyesaidia kuwatayarisha watu wa Kristo kwa ajili ya Ufalme? Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Ufalme ni serikali halisi?
SEHEMU YA 1
Kweli ya Ufalme—Kuandaa Chakula cha Kiroho
SURA YA 3
Yehova Anafunua Kusudi Lake
Je, Ufalme ulikuwa sehemu ya kusudi la Mungu la awali? Yesu aliufunuaje Ufalme?
SURA YA 4
Yehova Analikweza Jina Lake
Ufalme umetimiza nini kuhusiana na jina la Mungu? Wewe binafsi unawezaje kushiriki katika kulitakasa jina la Yehova?
SURA YA 5
Mfalme Anaufunua Ufalme
Pata uelewaji sahihi kuhusu Ufalme wa Mungu, watawala na raia wake, na uhitaji wa kuwa washikamanifu.
SURA YA 6
Watu Wanaohubiri—Wahudumu Wanajitoa kwa Hiari
Kwa nini Yesu alikuwa na uhakika kwamba angekuwa na jeshi la watu wanaohubiri kwa hiari katika siku za mwisho? Unaweza kuonyeshaje kwamba unautafuta kwanza Ufalme?
SURA YA 7
Mbinu za Kuhubiri—Kutumia Kila Njia Ili Kuwafikia Watu
Soma kuhusu mbinu ambazo watu wa Mungu wametumia kuwafikikishia habari njema watu wengi kadiri iwezekanavyo kabla ya mwisho kuja.
SURA YA 8
Vifaa vya Kutusaidia Kuhubiri—Kuchapisha Machapisho kwa Ajili ya Watu Ulimwenguni Pote
Kazi yetu ya kutafsiri inathibitishaje kwamba tunaungwa mkono na Yesu? Ni mambo gani ya hakika kuhusu machapisho yetu yanayokuthibitishia kwamba Ufalme ni halisi?
SURA YA 9
Matokeo ya Kuhubiri—“Mashamba . . . Ni Meupe kwa Ajili ya Kuvunwa”
Yesu aliwafundisha wanafunzi wake mambo mawili muhimu kuhusu mavuno makubwa zaidi ya kiroho. Mambo hayo mawili yanatuathiri jinsi gani leo?
SEHEMU YA 3
Viwango vya Ufalme—Kuutafuta Uadilifu wa Mungu
SURA YA 11
Usafi wa Maadili—Unaonyesha Utakatifu wa Mungu
Vyumba vya walinzi na malango katika maono ya Ezekieli ya hekalu yamekuwa na maana ya pekee kwa watu wa Mungu tangu mwaka wa 1914.
SURA YA 12
Tengenezo Linalomtumikia “Mungu wa Amani”
Biblia haitofautishi vurugu na utaratibu bali na amani. Kwa nini? Na jibu linawahusuje Wakristo leo?
SURA YA 13
Wahubiri wa Ufalme Wanapeleka Kesi Mahakamani
Mahakimu fulani katika mahakama za juu leo wana maoni kama yale ya mwalimu wa Sheria Gamalieli.
SURA YA 14
Kuunga Mkono kwa Ushikamanifu Serikali ya Mungu Pekee
“Mto” wa mateso yaliyoletwa dhidi ya Mashahidi wa Yehova kwa sababu ya kutounga mkono upande wowote katika siasa umemezwa na chanzo kisichotarajiwa.
SURA YA 15
Kupigania Uhuru wa Kuabudu
Watu wa Mungu wamepigana ili wapate haki ya kutii sheria—sheria ya Ufalme wa Mungu.
SEHEMU YA 5
Elimu ya Ufalme—Kuwazoeza Watumishi wa Mfalme
SURA YA 16
Kukusanyika Pamoja kwa Ajili ya Ibada
Tunaweza kufaidikaje zaidi tunapohudhuria mikutano ili kumwabudu Yehova?
SURA YA 17
Kuwazoeza Wahudumu wa Ufalme
Shule za kitheokrasi zimewatayarishaje wahudumu wa Ufalme kutimiza migawo yao?
SURA YA 19
Kazi ya Ujenzi Inayomletea Yehova Sifa
Majengo ya ibada yanamletea sifa Mungu, hata hivyo kuna jambo analothamini zaidi
SURA YA 20
Kazi ya Kutoa Msaada
Tunajuaje kwamba kazi ya kutoa msaada ni sehemu ya utumishi wetu mtakatifu kwa Yehova?
SEHEMU YA 7
Ahadi za Ufalme—Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya
SURA YA 21
Ufalme wa Mungu Unaondoa Maadui Wake
Unaweza kujitayarisha sasa kwa ajili ya vita vya Har–Magedoni.
SURA YA 22
Ufalme Unatimiza Mapenzi ya Mungu Duniani
Unawezaje kuwa na uhakika kwamba ahadi za Yehova zitatimia?