Ufalme wa Mungu Unatawala!

Mamilioni ya watu wamekuwa na maisha mazuri, yenye furaha na usalama, wakitawaliwa na serikali kamilifu ya Mungu. Je, ungependa kuwa raia wa serikali hiyo?

Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza

Tangazo lenye kusisimua ambalo C. T. Russell alitoa Oktoba 2, 1914 limethibitikaje kuwa kweli?

SURA YA 1

“Ufalme Wako na Uje”

Yesu alifundisha kuhusu Ufalme wa Mungu kuliko alivyofundisha jambo lingine lolote. Utakuja jinsi gani na utakuja lini?

SURA YA 2

Ufalme Unazaliwa Mbinguni

Ni nani aliyesaidia kuwatayarisha watu wa Kristo kwa ajili ya Ufalme? Ni mambo gani yanayoonyesha kwamba Ufalme ni serikali halisi?

SURA YA 3

Yehova Anafunua Kusudi Lake

Je, Ufalme ulikuwa sehemu ya kusudi la Mungu la awali? Yesu aliufunuaje Ufalme?

SURA YA 4

Yehova Analikweza Jina Lake

Ufalme umetimiza nini kuhusiana na jina la Mungu? Wewe binafsi unawezaje kushiriki katika kulitakasa jina la Yehova?

SURA YA 5

Mfalme Anaufunua Ufalme

Pata uelewaji sahihi kuhusu Ufalme wa Mungu, watawala na raia wake, na uhitaji wa kuwa washikamanifu.

SURA YA 6

Watu Wanaohubiri​—Wahudumu Wanajitoa kwa Hiari

Kwa nini Yesu alikuwa na uhakika kwamba angekuwa na jeshi la watu wanaohubiri kwa hiari katika siku za mwisho? Unaweza kuonyeshaje kwamba unautafuta kwanza Ufalme?

SURA YA 7

Mbinu za Kuhubiri​—Kutumia Kila Njia Ili Kuwafikia Watu

Soma kuhusu mbinu ambazo watu wa Mungu wametumia kuwafikikishia habari njema watu wengi kadiri iwezekanavyo kabla ya mwisho kuja.

SURA YA 8

Vifaa vya Kutusaidia Kuhubiri​—Kuchapisha Machapisho kwa Ajili ya Watu Ulimwenguni Pote

Kazi yetu ya kutafsiri inathibitishaje kwamba tunaungwa mkono na Yesu? Ni mambo gani ya hakika kuhusu machapisho yetu yanayokuthibitishia kwamba Ufalme ni halisi?

SURA YA 9

Matokeo ya Kuhubiri​—“Mashamba . . . Ni Meupe kwa Ajili ya Kuvunwa”

Yesu aliwafundisha wanafunzi wake mambo mawili muhimu kuhusu mavuno makubwa zaidi ya kiroho. Mambo hayo mawili yanatuathiri jinsi gani leo?

SURA YA 10

Mfalme Anawasafisha Watu Wake Kiroho

Krismasi na msalaba vina vyanzo gani?

SURA YA 11

Usafi wa Maadili​—Unaonyesha Utakatifu wa Mungu

Vyumba vya walinzi na malango katika maono ya Ezekieli ya hekalu yamekuwa na maana ya pekee kwa watu wa Mungu tangu mwaka wa 1914.

SURA YA 12

Tengenezo Linalomtumikia “Mungu wa Amani”

Biblia haitofautishi vurugu na utaratibu bali na amani. Kwa nini? Na jibu linawahusuje Wakristo leo?

SURA YA 13

Wahubiri wa Ufalme Wanapeleka Kesi Mahakamani

Mahakimu fulani katika mahakama za juu leo wana maoni kama yale ya mwalimu wa Sheria Gamalieli.

SURA YA 14

Kuunga Mkono kwa Ushikamanifu Serikali ya Mungu Pekee

“Mto” wa mateso yaliyoletwa dhidi ya Mashahidi wa Yehova kwa sababu ya kutounga mkono upande wowote katika siasa umemezwa na chanzo kisichotarajiwa.

SURA YA 15

Kupigania Uhuru wa Kuabudu

Watu wa Mungu wamepigana ili wapate haki ya kutii sheria​​—⁠sheria ya Ufalme wa Mungu.

SURA YA 16

Kukusanyika Pamoja kwa Ajili ya Ibada

Tunaweza kufaidikaje zaidi tunapohudhuria mikutano ili kumwabudu Yehova?

SURA YA 17

Kuwazoeza Wahudumu wa Ufalme

Shule za kitheokrasi zimewatayarishaje wahudumu wa Ufalme kutimiza migawo yao?

SURA YA 18

Jinsi Kazi za Ufalme Zinavyogharimiwa

Pesa zinatoka wapi? Zinatumiwa jinsi gani?

SURA YA 19

Kazi ya Ujenzi Inayomletea Yehova Sifa

Majengo ya ibada yanamletea sifa Mungu, hata hivyo kuna jambo analothamini zaidi

SURA YA 20

Kazi ya Kutoa Msaada

Tunajuaje kwamba kazi ya kutoa msaada ni sehemu ya utumishi wetu mtakatifu kwa Yehova?

SURA YA 21

Ufalme wa Mungu Unaondoa Maadui Wake

Unaweza kujitayarisha sasa kwa ajili ya vita vya Har–​Magedoni.

SURA YA 22

Ufalme Unatimiza Mapenzi ya Mungu Duniani

Unawezaje kuwa na uhakika kwamba ahadi za Yehova zitatimia?