Utangulizi na Muhtasari wa Yaliyomo
Baadhi ya mafundisho bora zaidi yanayojulikana ya Yesu yanapatikana katika hotuba aliyoitoa mlimani karibu na jiji la Kapernaumu, lililokuwa kwenye ufuo wa Bahari ya Galilaya. Hotuba hiyo inayojulikana kama Mahubiri ya Mlimani, inapatikana katika sura ya 5 hadi 7 ya kitabu cha Biblia cha Mathayo. Mafundisho hayo yanazungumziwa kwenye broshua hii ili uweze kunufaika na hekima ya Yesu.
SURA YA 5
SURA YA 6
SURA YA 7