Ushirika Mzima wa Ndugu Zetu
Karibu miaka 2,000 iliyopita, Wakristo waliamriwa ‘waupende ushirika mzima wa akina ndugu.’ Mashahidi wa Yehova wameonyeshaje kwamba wanatii amri hiyo? Video hii itachunguza njia tatu ambazo ushirika wetu umetuwezesha kutimiza jambo hilo: 1) kupitia kazi ya kuhubiri, 2) kuwasaidia wale walio na uhitaji, na 3) kukusanyika pamoja ili kumwabudu Yehova Mungu.
Huenda Ukapenda Pia
VIDEO ZA MASIMULIZI
Mashahidi wa Yehova —Tengenezo Linalohubiri Habari Njema
Mashahidi wa Yehova wanajulikana sana kwa kazi yao ya kimataifa ya kuwafundisha watu Biblia. Kazi yao imepangwaje, inaongozwaje, na inagharimiwaje?