Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”​—Sehemu ya  1

Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”​—Sehemu ya  1

Nehemia anaacha kazi yake katika Makao ya Mfalme Shushani ili kuenda kujenga upya kuta za jiji kuu la Yehova. Hata hivyo, ujenzi huo mkubwa haukuwa mtihani pekee ambao angekabiliana nao. Je, sala na ujasiri ndiyo mambo pekee yatakayohitajika ili kukamilisha mradi huo?