Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 60

Ni Uzima Kwao

Ni Uzima Kwao

(Ezekieli 3:17-19)

  1. 1. Twatangaza kote

    Mwaka wa nia njema.

    Na siku ya kisasi

    Inakaribia.

    (KORASI)

    Ni uzima, si kwao tu;

    Ni uzima na kwetu.

    Ni uzima, wakitii,

    Hivyo kote twatangaza

    Ufalme.

  2. 2. Twatangaza kote

    katika mataifa.

    Watu wapatanishwe

    na Yehova Mungu.

    (KORASI)

    Ni uzima, si kwao tu;

    Ni uzima na kwetu.

    Ni uzima, wakitii,

    Hivyo kote twatangaza

    Ufalme.

    (DARAJA)

    Ujumbe, wa haraka!

    Tujulishe watu wote.

    Wajue, wajifunze.

    Waipate kweli bure.

    (KORASI)

    Ni uzima, si kwao tu;

    Ni uzima na kwetu.

    Ni uzima, wakitii,

    Hivyo kote twatangaza

    Ufalme.