WIMBO NA. 60
Ni Uzima Kwao
-
1. Twatangaza kote
Mwaka wa nia njema.
Na siku ya kisasi
Inakaribia.
(KORASI)
Ni uzima, si kwao tu;
Ni uzima na kwetu.
Ni uzima, wakitii,
Hivyo kote twatangaza
Ufalme.
-
2. Twatangaza kote
katika mataifa.
Watu wapatanishwe
na Yehova Mungu.
(KORASI)
Ni uzima, si kwao tu;
Ni uzima na kwetu.
Ni uzima, wakitii,
Hivyo kote twatangaza
Ufalme.
(DARAJA)
Ujumbe, wa haraka!
Tujulishe watu wote.
Wajue, wajifunze.
Waipate kweli bure.
(KORASI)
Ni uzima, si kwao tu;
Ni uzima na kwetu.
Ni uzima, wakitii,
Hivyo kote twatangaza
Ufalme.
(Ona pia 2 Nya. 36:15; Isa. 61:2; Eze. 33:6; 2 The. 1:8)