Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 35

“Mhakikishe Mambo Muhimu Zaidi”

“Mhakikishe Mambo Muhimu Zaidi”

(Wafilipi 1:10)

  1. 1. Twahitaji utambuzi,

    Kujua mambo yafaayo,

    Ambayo ni muhimu zaidi

    Tupasayo kufanya!

    (KORASI)

    Penda mema; Mungu wetu

    Afurahi.

    Tuchukie mabaya. Tusali

    Na kufanya

    Yaliyo muhimu zaidi.

  2. 2. Nini kingine chenye maana

    Kuliko kuhubiri?

    Na kutafuta kondoo wa

    Mungu waliopotea?

    (KORASI)

    Penda mema; Mungu wetu

    Afurahi.

    Tuchukie mabaya. Tusali

    Na kufanya

    Yaliyo muhimu zaidi.

  3. 3. Tukifanya yaliyo muhimu,

    Tutapata uradhi.

    Na amani ya akili

    Ipitayo zote tupate.

    (KORASI)

    Penda mema; Mungu wetu

    Afurahi.

    Tuchukie mabaya. Tusali

    Na kufanya

    Yaliyo muhimu zaidi.