Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 123

Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu

Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu

(1 Wakorintho 14:33)

  1. 1. Watu wa Yehova tutangazapo,

    Kweli za Ufalme zenye thamani.

    Utaratibu wa kitheokrasi,

    Lazima tutii, kuwe umoja.

    (KORASI)

    Tuna wajibu wa kumtii

    Yehova milele.

    Anatupenda, na kutulinda.

    Twashikamana naye.

  2. 2. Mungu ametupa mtumwa wake,

    Pia roho yake ituongoze.

    Na twende sambamba; bega kwa bega,

    Tujulishe wote amri za Mungu.

    (KORASI)

    Tuna wajibu wa kumtii

    Yehova milele.

    Anatupenda, na kutulinda.

    Twashikamana naye.