MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Mei 2019

Toleo hili lina makala za funzo za Julai 1 hadi Agosti 4, 2019.

Upendo na Haki Katika Kutaniko la Kikristo

Sheria ya Kristo ni nini, nayo huteteaje haki?

Upendo na Haki Katika Ulimwengu Mwovu

Wazazi wanaweza kuwalindaje watoto wao wasitendewe vibaya kingono, na wazee wanaweza kufanya nini ili kulinda kutaniko?

Faraja kwa Watu Waliotendewa Vibaya Kingono

Neno la Mungu, wazee wa kutaniko, na dada Wakristo waliokomaa kiroho wanaweza kuwafariji jinsi gani wale waliotendewa vibaya kingono?

Usidanganywe na “Hekima ya Ulimwengu Huu”

Kwa nini Yehova pekee ndiye Chanzo kinachotegemeka cha mwongozo? Biblia hutusaidiaje kuwa na maoni yanayofaa kujihusu?

Boresha Mazoea Yako ya Kujifunza!

Tunaweza kuamuaje mambo ya kutanguliza na kunufaika kikamili tunapojifunza Biblia kibinafsi?