MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Machi 2017
Toleo hili lina makala za funzo za Mei 1-28, 2017.
SIMULIZI LA MAISHA
Nimefaidika kwa Kutembea na Watu Wenye Hekima
Katika miaka yake mingi ya utumishi wa wakati wote, William Samuelson amepata migawo inayosisimua na yenye changamoto mbalimbali.
Mpe Heshima Yule Anayestahili
Ni nani wanaostahili heshima, na kwa nini? Utafaidikaje kwa kuwaheshimu?
Onyesha Imani —Amua kwa Hekima!
Baadhi ya maamuzi unayofanya yataathiri sana maisha yako. Ni nini kinachoweza kukusaidia kufanya maamuzi ya hekima?
Mtumikie Yehova kwa Moyo Kamili!
Wafalme wa Yuda Asa, Yehoshafati, Hezekia, na Yosia wote walikosea. Lakini Mungu aliona kuwa walimtumikia kwa moyo kamili. Kwa nini?
Je, Utauelekeza Moyo Wako Kwenye Mambo Yaliyoandikwa?
Unaweza kujifunza kutokana na makosa ya wengine, kutia ndani makosa yaliyoandikwa katika Biblia.
Kuwa Rafiki Urafiki Unapokuwa Hatarini
Huenda kukawa na wakati ambapo rafiki yako anahitaji msaada haraka ili arudie hali nzuri. Unaweza kumsaidiaje?
Jina la Kibiblia Katika Mtungi wa Kale
Watafiti walipendezwa na vipande vya mtungi wa udongo uliotengenezwa miaka 3,000 iliyopita, vilivyochimbuliwa mwaka 2012. Ni nini kilichokuwa cha pekee sana kuhusu uvumbuzi huo?