MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Juni 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 6 hadi Septemba 2, 2018.

“Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu”

Msimamo wa Yesu kuhusu masuala fulani-fulani yenye utata katika siku zake unapaswa kuathirije maoni yetu kuhusu masuala ya kisiasa na ya kijamii?

Na Tuwe na Umoja Kama Yehova na Yesu Walivyo na Umoja

Unaweza kufanya nini ili kuimarisha umoja wa watu wa Mungu?

Angeweza Kuwa na Kibali cha Mungu

Mfano wa Rehoboamu, mfalme wa Yuda, unatusaidia kuelewa kile ambacho Mungu anatazamia kutoka kwa kila mmoja wetu

Acha Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Dhamiri Yako

Mungu ametupatia dira inayotupatia mwongozo kuhusu maadili, lakini ni lazima tuhakikishe dira yetu inafanya kazi vizuri.

“Acheni Nuru Yenu Iangaze” ili Yehova Atukuzwe

Mengi zaidi yanahusika kuliko kuhubiri habari njema.

SIMULIZI LA MAISHA

Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu Yote

Edward Bazely alikabili hali ngumu za kifamilia, upinzani wa kidini, kukata tamaa kwa sababu ya makosa yake mwenyewe, na kushuka moyo.

Nguvu za Salamu

Hata kuwasalimu wengine kifupi tu kunaweza kutimiza mengi.

Je, Unakumbuka?

Je, unaweza kujibu maswali hayo kwa kutegemea habari za matoleo ya karibuni ya Mnara wa Mlinzi?