Privacy Settings

To provide you with the best possible experience, we use cookies and similar technologies. Some cookies are necessary to make our website work and cannot be refused. You can accept or decline the use of additional cookies, which we use only to improve your experience. None of this data will ever be sold or used for marketing. To learn more, read the Global Policy on Use of Cookies and Similar Technologies. You can customize your settings at any time by going to Privacy Settings.

Ulimwengu Uliobadilika Je, Utaishi Uuone?

Ulimwengu Uliobadilika Je, Utaishi Uuone?

Ulimwengu Uliobadilika Je, Utaishi Uuone?

● Makala za kwanza katika toleo hili la Amkeni! zinazungumzia tamaa ambayo watu ulimwenguni pote wanayo—tamaa ya kuwa na ulimwengu bora zaidi. Je, kuna tumaini lolote kwamba utaishi uuone ulimwengu kama huo?

Mashahidi wa Yehova ambao ndio wachapishaji wa gazeti hili, wanaamini kwamba Biblia inaweza kutusaidia kuelewa tumaini la wakati ujao. Kati ya vitabu vyote vitakatifu, ni Biblia peke yake inayotueleza historia ya wanadamu tangu mwanzo. Pia, Biblia inatuambia kuhusu wakati wetu ujao—na si wakati ujao uliojaa taabu kama watu wengi wanavyofikiri.

Je, ungependa kujua mambo mengi zaidi ambayo Biblia inasema kuhusu habari hiyo? Kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? kinaweza kukusaidia. Kimechapishwa na Mashahidi wa Yehova na sasa kinapatikana katika lugha 244.

□ Bila masharti, ningependa kupokea kitabu kilichoonyeshwa hapa. Onyesha lugha.

□ Ningependa kujifunza Biblia nyumbani kwangu bila malipo.