Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

ILITUKIA WAPI?

1. Jambo hili lilitukia katika jiji gani?

Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.

Tarso

Antiokia (ya Siria)

Damasko

Yerusalemu

◆ Ni nani aliye ndani ya kikapu?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

◆ Kwa nini anatoroka jiji hili?

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․

▪ Zungumzeni Pamoja: Ni wakati gani unaweza kukimbia hatari? Je, ni lazima Wakristo wakimbie hatari nyakati zote? Kwa nini unajibu hivyo?

ILITUKIA LINI?

Chora mstari wa kuunganisha picha na tarehe sahihi.

1513 K.W.K. 1512 1473 1450 468 455

2. Yoshua 24:1-25

3. Kutoka 32:1-6, 19

4. Ezra 8:1, 21, 31

MIMI NI NANI?

5. Kazi yangu ilikuwa kushona nguo; majina yangu mawili yanamaanisha “Swala,” nami nilifufuliwa.

MIMI NI NANI?

6. Niliishi kando ya bahari nami wakati mmoja nilikuwa na mgeni maarufu ambaye alipenda kuvua samaki. Sote wawili tuna jina lilelile.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

Ukurasa wa 8 Mume anapaswa kumtendeaje mke wake? (Wakolosai 3:____)

Ukurasa wa 8 Ni njia gani bora ya kushughulikia matatizo ya ndoa? (1 Petro 4:____)

Ukurasa wa 15 Je, Mungu anaishi mahali fulani hususa? (1 Wafalme 8:____)

Ukurasa wa 25 Unaweza kupata wapi mashauri bora kuhusu kazi? (Methali 3:____)

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

(Majibu kwenye ukurasa wa 13)

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Damasko.—Matendo 9:19, 25.

◆ Sauli, ambaye baadaye aliitwa Paulo.—Matendo 9:17-19.

◆ Wayahudi walitaka kumuua kwa sababu ya kuhubiri.—Matendo 9:22-24.

2. 1450 K.W.K.

3. 1513 K.W.K.

4. 468 K.W.K.

5. Tabitha, au Dorkasi.—Matendo 9:36-41.

6. Simoni mtengenezaji wa ngozi.—Matendo 10:5, 6.