MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2025
Toleo hili lina makala za funzo za Novemba 10–Desemba 7, 2025.
MAKALA YA 37
Njia Bora ya Kushughulikia Ukosefu wa Haki
Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 17-23, 2025.
MAKALA YA 39
“Waliokuwa na Mwelekeo Unaofaa” Wataitikia Vizuri
Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 1-7, 2025.
SIMULIZI LA MAISHA
Yehova Alitusaidia ‘Kusitawi Mahali Tulipopandwa’
Mats na Ann-Catrin Kassholm wanakumbuka migawo waliyofanya kwa miaka mingi katika utumishi wa wakati wote wanapoeleza kuhusu mambo yaliyowasaidia walipopandwa, walipong’olewa, na kupandwa upya mara nyingi.
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Mwandikaji wa Methali 30:18, 19 alisema kwamba “njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali” ‘ilizidi ufahamu.’ Alikuwa anamaanisha nini?
MSEMO WA BIBLIA
Yesu “Alijifunza Kutii”
Yesu alijifunzaje kutii, kama inavyotajwa kwenye Waebrania 5:8?