MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Septemba 2025

Toleo hili lina makala za funzo za Novemba 10–​Desemba 7, 2025.

MAKALA YA 36

‘Waite Wazee’

Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 10-16, 2025.

MAKALA YA 37

Njia Bora ya Kushughulikia Ukosefu wa Haki

Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 17-23, 2025.

MAKALA YA 38

Waonyeshe Heshima Wengine

Tutajifunza makala hii katika juma la Novemba 24-30, 2025.

MAKALA YA 39

“Waliokuwa na Mwelekeo Unaofaa” Wataitikia Vizuri

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 1-7, 2025.

SIMULIZI LA MAISHA

Yehova Alitusaidia ‘Kusitawi Mahali Tulipopandwa’

Mats na Ann-Catrin Kassholm wanakumbuka migawo waliyofanya kwa miaka mingi katika utumishi wa wakati wote wanapoeleza kuhusu mambo yaliyowasaidia walipopandwa, walipong’olewa, na kupandwa upya mara nyingi.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Mwandikaji wa Methali 30:​18, 19 alisema kwamba “njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali” ‘ilizidi ufahamu.’ Alikuwa anamaanisha nini?

MSEMO WA BIBLIA

Yesu “Alijifunza Kutii”

Yesu alijifunzaje kutii, kama inavyotajwa kwenye Waebrania 5:8?