Kuwaalika watu katika mikutano

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Oktoba 2016

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo kwa ajili ya utumishi ya gazeti la Amkeni!, mwaliko wa kuhudhuria mikutano, na kweli ya Biblia inayoonyesha ni nini kinachotupata tunapokufa. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Mtegemee Yehova kwa Moyo Wako Wote”

Methali 3 inatuhakikishia kwamba Yehova Mungu atatuthawabisha ikiwa tutamtegemea. Unaweza kutambuaje ikiwa unamtegemea Yehova kwa moyo wako wote?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Moyo Wako Usikengeuke”

Methali 7 inafafanua jinsi kijana anavyoshawishiwa kufanya dhambi moyo wake unapokengeuka kutoka kwa viwango vya Yehova. Tunaweza kujifunza nini kutokana makosa yake?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Hekima Ni Bora Kuliko Dhahabu

Methali 16 inasema kwamba ni bora kujipatia hekima kuliko dhahabu. Kwa nini hekima kutoka kwa Mungu ina thamani sana?

MAISHA YA MKRISTO

Jinsi ya Kutoa Maelezo Mazuri

Maelezo mazuri humnufaisha mwenye kutoa maelezo na kutaniko. Ni mambo gani yanayohusika katika kutoa maelezo mazuri?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Fuatilia Amani Pamoja na Watu Wote

Amani kati ya watu wa Yehova haiji bila jitihada. Tunaweza kutumia Neno la Mungu kukabiliana na hisia kali na kufuatilia amani.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Mlee Mvulana Kulingana na Njia Inayomfaa”

Kwa nini lazima watoto watiwe nidhamu ili wazoezwe vizuri? Methali 22 inatolea wazazi mashauri yanayofaa.

MAISHA YA MKRISTO

Je, Unatumia Vizuri Kadi za Mawasiliano za JW.ORG?

Tumia kadi hizi za mawasiliano kila unapopata nafasi ili kuelekeza watu kwenye Neno la Mungu na kwenye tovuti yetu.