Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTHO 4-6

“Chachu Kidogo Huchachisha Donge Lote”

“Chachu Kidogo Huchachisha Donge Lote”

5:1, 2, 5-11, 13

Kwa nini tunaweza kusema kwamba mpango wa kutenga na ushirika ni uandalizi wenye upendo ingawa unasababisha maumivu mengi?

Kutenga na ushirika huonyesha upendo kwa . . .

  • Yehova kwa kuliheshimu jina lake takatifu.—1Pe 1:15, 16

  • kutaniko kwa kulilinda dhidi ya uvutano wenye kuchafua.—1Ko 5:6

  • mkosaji kwa kumsaidia arudiwe na fahamu.—Ebr 12:11

Unaweza kufanya nini ili kuwasaidia Wakristo ambao ni wa familia ya mtu aliyetengwa na ushirika?