Tii Zile Amri Mbili Kuu Zaidi
Ukitumia Mathayo 22:36-39, panga sababu zifuatazo ukianza na sababu muhimu zaidi ya kuhudhuria mikutano ya Kikristo, kisha sababu ya pili, halafu ya tatu:
-
Kutiwa moyo
-
Kuwatia moyo ndugu zetu
-
Kuabudu na kuonyesha kwamba tunampenda Yehova
Kwa nini tunapaswa kujaribu kuhudhuria mikutano hata tukiwa tumechoka sana na tunahisi tutanufaika kidogo sana tunapohudhuria?
Kuna njia zipi nyingine ambazo tunaweza kuonyesha kwamba tunatii zile amri mbili kuu zaidi?