DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Julai 2017
Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi
Mapendekezo kwa ajili ya utumishi ya gazeti la Mnara wa Mlinzi na ya kufundisha kweli kuhusu kuteseka. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Je, Una Moyo wa Nyama?
Moyo unahusikaje tunapofanya maamuzi kuhusu burudani na kuhusu mavazi na mapambo? Inamaanisha nini kuwa na moyo wa nyama?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Je, Unatimiza Ahadi Zako?
Tunajifunza nini kutokana na matokeo ambayo Mfalme Sedekia alipata kwa sababu ya kuvunja ahadi?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Yehova Anaposamehe, Je, Yeye Husahau?
Ni mifano gani ya Biblia inayotuthibitishia kwamba Yehova husamehe? Tunawezaje kuwa na uhakika kwamba atatusamehe kutokana na jinsi alivyoshughulika na Daudi, Manase, na Petro?
MAISHA YA MKRISTO
Je, Wewe Hujisamehe?
Inaweza kuwa vigumu kujisamehe makosa ambayo tulifanya zamani, hata ikiwa tayari Yehova Mungu ametusamehe. Ni nini kinachoweza kutusaidia?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Ufalme Ni wa Yule Aliye na Haki ya Kisheria
Yesu alitimizaje unabii wa Ezekieli kuhusu mfalme aliye na haki ya kisheria? Jambo hilo linatufundisha nini kumhusu Yehova?
MAISHA YA MKRISTO
Onyesha Adabu Mlangoni
Tunapokuwa mlangoni, huenda tusitambue kwamba wenye-nyumba wanatutazama au kutusikiliza. Tunaweza kuonyeshaje adabu tunapokuwa mlangoni?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Unabii Kuhusu Tiro Unaimarisha Imani Yetu Katika Neno la Yehova
Unabii wa Ezekieli kuhusu kuharibiwa kwa Tiro ulitimia kikamili.