Kuhubiri mlango kwa mlango nchini Italia

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Julai 2017

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo kwa ajili ya utumishi ya gazeti la Mnara wa Mlinzi na ya kufundisha kweli kuhusu kuteseka. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Je, Una Moyo wa Nyama?

Moyo unahusikaje tunapofanya maamuzi kuhusu burudani na kuhusu mavazi na mapambo? Inamaanisha nini kuwa na moyo wa nyama?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Je, Unatimiza Ahadi Zako?

Tunajifunza nini kutokana na matokeo ambayo Mfalme Sedekia alipata kwa sababu ya kuvunja ahadi?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yehova Anaposamehe, Je, Yeye Husahau?

Ni mifano gani ya Biblia inayotuthibitishia kwamba Yehova husamehe? Tunawezaje kuwa na uhakika kwamba atatusamehe kutokana na jinsi alivyoshughulika na Daudi, Manase, na Petro?

MAISHA YA MKRISTO

Je, Wewe Hujisamehe?

Inaweza kuwa vigumu kujisamehe makosa ambayo tulifanya zamani, hata ikiwa tayari Yehova Mungu ametusamehe. Ni nini kinachoweza kutusaidia?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Ufalme Ni wa Yule Aliye na Haki ya Kisheria

Yesu alitimizaje unabii wa Ezekieli kuhusu mfalme aliye na haki ya kisheria? Jambo hilo linatufundisha nini kumhusu Yehova?

MAISHA YA MKRISTO

Onyesha Adabu Mlangoni

Tunapokuwa mlangoni, huenda tusitambue kwamba wenye-nyumba wanatutazama au kutusikiliza. Tunaweza kuonyeshaje adabu tunapokuwa mlangoni?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Unabii Kuhusu Tiro Unaimarisha Imani Yetu Katika Neno la Yehova

Unabii wa Ezekieli kuhusu kuharibiwa kwa Tiro ulitimia kikamili.