Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Kukubaliwa Kisheria kwa Kazi ya Kuhubiri Katika Jiji la Quebec

Kukubaliwa Kisheria kwa Kazi ya Kuhubiri Katika Jiji la Quebec

Paulo alipokuwa mahakamani, alikata rufaa kwa Kaisari. Kwa kutumia haki yake akiwa raia Mroma, alituwekea kielelezo leo. Tazameni video Kukubaliwa Kisheria kwa Kazi ya Kuhubiri Katika Jiji la Quebec ili kujua jinsi ndugu zetu walivyotumia maandalizi ya kisheria kutetea habari njema jijini Quebec. Kisha mjibu maswali yafuatayo:

  • Ndugu zetu walikabili hali zipi ngumu jijini Quebec?

  • Walisambaza trakti gani ya pekee, na matokeo yalikuwa nini?

  • Ndugu Aimé Boucher alipatwa na nini?

  • Mahakama Kuu ya Kanada ilitoa uamuzi gani katika kesi ya Ndugu Boucher?

  • Akina ndugu walitumia uandalizi gani wa kisheria usio wa kawaida, na matokeo yalikuwa nini?

  • Ni nini kilichotokea baada ya mkutano wa Kikristo kukatishwa na polisi waliochochewa na viongozi wa kidini?