DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Januari 2019
Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
Mapendekezo ya kuanzisha mazungumzo kuhusu kusudi la uhai na ahadi ya Mungu ya wakati ujao.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mapenzi ya Yehova na Yatendeke”
Hatupaswi kuwavunja moyo wengine wanapoamua kujidhabihu kwa ajili ya utumishi wa Yehova.
MAISHA YA MKRISTO
Yehova Alitufundisha Kuwalea Watoto Wetu
Je, unakubali Mungu akusaidie kuwalea watoto wako kwa mafanikio?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Ashtakiwa Kuwa Msumbufu na Kuchochea Uasi
Njama ya kumuua Paulo ilikatizwa na mpwa wa Paulo. Simulizi hilo linatufundisha nini?
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Paulo Akata Rufaa kwa Kaisari Kisha Amtolea Ushahidi Mfalme Herode Agripa
Wapinzani wanapojaribu “[kutunga] matatizo kwa kutumia sheria,” tunawezaje kuiga mfano wa Paulo?
MAISHA YA MKRISTO
Kukubaliwa Kisheria kwa Kazi ya Kuhubiri Katika Jiji la Quebec
Jifunze jinsi ndugu zetu walivyotetea habari njema jijini Quebec.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Paulo Anasafiri Kwenda Roma
Paulo hakuacha kamwe kuhubiri licha ya kufungwa.
MAISHA YA MKRISTO
“Paulo Alimshukuru Mungu na Kujipa Moyo”
Wakati ujao mwangalizi wa mzunguko na mke wake watakapotembelea kutaniko lenu, unaweza kufanya nini ili kuwafanya wajipe moyo?