Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Februari 19-​25

Mathayo 16-17

Februari 19-​25
  • Wimbo 45 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Unafikiria Mawazo ya Nani?”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 16:18—Ni nani aliyekuwa mwamba ambao juu yake Yesu alijenga kutaniko la Kikristo? (“Wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu,” “kutaniko” habari za utafiti Mt 16:18, nwtsty)

    • Mt 16:19—“Funguo za Ufalme wa mbinguni” ambazo Yesu alimpa Petro ni nini? (“funguo za Ufalme wa mbinguni” habari za utafiti Mt 16:19, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mt 16:1-20

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO