AGOSTI 15, 2012
MAREKANI

Mashahidi wa Yehova katika Manhattan

Mashahidi wa Yehova katika Manhattan

Kikundi cha Mashahidi wa Yehova kimeweka meza zinazoonyesha machapisho ya lugha mbalimbali yanayozungumzia Biblia katika Kituo kikuu cha gari-moshi katika Manhattan, New York.