Habari

 

Ripoti ya 2 ya Baraza Linaloongoza ya 2026

Katika ripoti hii, tutapata ufafanuzi wa kanuni za Biblia zinazoweza kumsaidia Mkristo kufanya maamuzi kuhusu matumizi ya damu yake mwenyewe wakati wa matibabu au upasuaji.

Mashahidi wa Yehova Waliofungwa Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao—Kulingana na Eneo

Nchi na maeneo ambayo Mashahidi wa Yehova wamefungwa gerezani, nyakati nyingine chini ya hali ngumu, kwa sababu ya kutenda kupatana na imani yao na kutumia haki za msingi za kibinadamu.