Drama ya 5: “Walishangazwa na Njia Yake ya Kufundisha”
Yesu anatoa hotuba inayojulikana ya mahubiri ya mlimani, akiwafundisha watu kwa njia ambayo hakuna mtu mwingine amewahi kufundisha kabla yake. Kulingana na Luka 6:17-19; Mathayo 5:1-12; Luka 6:20-26; Mathayo 5:13-48; Luka 6:27-30, 32-36; Mathayo 6:1-34; Mathayo 7:1-6; Luka 6:37-42; Mathayo 7:7-12; Luka 6:31; Mathayo 7:13-23; Luka 6:43-46; Mathayo 7:24-27; Luka 6:47-49; Mathayo 7:28, 29.

